Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Na mashabiki wa simba, azam, mtibwa, ihefu, lipuli, coastal, kagera, mbeya city, kmc nk nk no

wote wananunua [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

hizi jezi zinazokuja zinauzwa ndani ya maduka mawil zinaisha siku mbili mtu anasema wanapewa 1.2bil

achen masikhara nyie utopolo

nyinyi mnachukua 1300 kwa jezi.. wale watu wa maduka wanachukua 5000 kwa jez

wao watakua wameingiza bei gani?? ukipiga hesabu hapo ni Bil 5?? Kwamba shafii na Sandaland wameingiza bil 5?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

kama hapo taifa watu elfu 60 hua panafunguliwa tokea asubuh na bado watu wanakaa kwenye folen masaa ya kutosha, hapo kwa shafii ungekaa foleni mwezi mzima ndio upate jezi
Naona mkuu unashindwa kubishana kwa hoja,yaani umejaza 'ushabiki maandazi'
 
Naona mkuu unashindwa kubishana kwa hoja,yaani umejaza 'ushabiki maandazi'
Nimekuwekea hoja hapo , tena hesabu juu kabisa

Tena nikakusaidia ujue na ukubwa wa jezi mil 1 uone ulivyo

Msimu huu mna sole distributor kabisa, ni sandaland peke yake ,

anashiriana na baadhi ya watu wawil watatu

jezi zilikuja na kuisha siku hiyo hiyo

Zilikua zinauzwa sehemu 3 tu sijui

Msimu mzima hamuuzi kit zaid ya 200k nyie abadani, itakua uliambiwa mil 120 ukafananisha na 1.2bil

acha utani na kit mil 1 ww [emoji23][emoji23][emoji23] hizo gsm mall zenyewe zote zingejaa jezi kusiwe na nafasi ya hata kiroboto kuingia na bado mzigo zaid ya huo ungekua Kwenye godowns
 
Leo sio Kioja tena? [emoji23]

Taratibu utaandika kupata ukweli huu.
Sema nn una moyo

Yani unakaa chini kabisa unawaza kuifunga simba .. ni ushujaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119], hongera
 
20200925_132141.jpg
 
Hivi Mtani ujue inashangaza sana hivi mumekosa vya kupost vya Simba ambavyo vinamanufaa kwa timu yenu kweli? [emoji848][emoji848][emoji848]

Tembelea page ya Yanga kama utaona kuna story ka hizi. Lol.
Unaijua official page ya Simba SC?
 
Back
Top Bottom