Yuzo mawe
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 494
- 551
GSM kaanza kutengeneza jezi kuanzia msimu uliopita boss..Huyo jamaa hajielew kabisa, hajui hata lini GSM kaanza fanya nao kazi . ... [emoji38][emoji38][emoji38] anadhan wana miaka hapo, hajui ni mwaka huu huu , yani January hadi mwez wanne kwamba wameuza jezi 1.1mil [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Manyani will always be Manyani walai
Punguza presha boss..