babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Ukimsikiliza yule roporopo wao. Mzungu wa buza utagundua nia ya wale mashabiki. Wanaingia kwenye mechi za Yanga,wanakaa katikati yao. Kisha wanaanza kuwakashfu wananchi ili kuwaudhi na mwisho wafanyiwe fujo. Lengo ni hili alilolitaja Manara kuomba Yanga icheze bila mashabiki. Hii ni hujumaDaah!! Kunijumuisha humo ni sawa na kunionea ujue?
Mapato hayo kwa watu watano sijui sita? [emoji15] wangekuwa kilichowapeleka ni kuongeza mapato wangetulizana pale walipokuwa wamekaa mwanzo na sio kuhangaika kama wafanyabiashara.
Duuh!! Kazi ipo Mkuu ila kwa kuwa Tiefuefu ni ya kwao wacha tuone mwisho wa hii ni nini.Ukimsikiliza yule roporopo wao. Mzungu wa buza utagundua nia ya wale mashabiki. Wanaingia kwenye mechi za Yanga,wanakaa katikati yao. Kisha wanaanza kuwakashfu wananchi ili kuwaudhi na mwisho wafanyiwe fujo. Lengo ni hili alilolitaja Manara kuomba Yanga icheze bila mashabiki. Hii ni hujuma
🤔🤔🤔🤔Najua wewe huwezi hata kufikiria kufanya fujo kama zile kwani ustaarabu na uadilifu wako si wakutiliwa shaka hata kidogo Shadeeya. Ila ulitakiwa kukemea tabia ile kwa kinywa kipana, bila kusita wala kuyumba
Mbona Lunyasi ndio hua wanajaa kwenye uwanja
Ila inachekesha sana aisee yaani watu magari kwa magari wanajiondoa DSM kwenda Moro eti kisa tu kwenda kuizomea Yanga hivi Ses si UZUZU huo?Najua wewe huwezi hata kufikiria kufanya fujo kama zile kwani ustaarabu na uadilifu wako si wakutiliwa shaka hata kidogo Shadeeya. Ila ulitakiwa kukemea tabia ile kwa kinywa kipana, bila kusita wala kuyumba
Mbona Lunyasi ndio hua wanajaa kwenye uwanja
Aombe radhi kwanza, aache janjajanjaAfisa habari wa Klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli, amesema klabu ya Simba inatakiwa pia iwakemee mashabiki wake pale wanapoenda kutazama mechi za Yanga wasiende kwa lengo la kuwakera na kuwakejeli mashabiki wa Yanga kwa sababu kejeli siku zote hazivumiliki lazima mtu atapaniki.
Bumbuli amesema pia klabu ya Simba inatakiwa pia iwakemee mashabiki wake kuachana na kauli za kusema wanaenda kuangalia mechi za Yanga kwa lengo la kuhakikisha Yanga inafungwa huo unakuwa ni uvunjifu wa amani, kwa sababu hata mtu anapokuja kwako na kukuambia atahakikisha wewe haulali vyema na familia yako hautomchukulia vizuri sababu atakuwa na Nia mbaya na familia yako.
#Sportarena
Mnapenda sana kuabudiwa eee?Aombe radhi kwanza, aache janjajanja
Kauli ya Klabu inatosha.Aombe radhi kwanza, aache janjajanja
SawaaKauli ya Klabu inatosha.
Wasukuma wakipiga yowe wanasema "maaaayooooo"!!!!. Kuomba radhi pia kwenu ni shida!?Mnapenda kuabudiwa eee?
Hapo sawa, nilikua sijaiona hiiKauli ya Klabu inatosha.
Kikubwa Waambieni hao mashabiki wenu watulizane tu hizi blah blah hazina maana.Wasukuma wakipiga yowe wanasema "maaaayooooo"!!!!. Kuomba radhi pia kwenu ni shida!?
Sasa Chura wenyewe wameitangaza mechi na kujinasibu wana kikosi cha ushindi chenye wachezaji wa kimataifa kama walivyokua kina Yikpe, watu (Lunyasi) wameitikia kwa wingi kuja uwanjani ili kwanza wawaletee mijihela na pili waone burudani. Lakini badala ya kuona soka zuri wanaona butua butua. Mkichekwa inakua nongwa!!!! Sijawahi kuwaelewa Wananchi
Poyee!Hapo sawa, nilikua sijaiona hii
Hujambo lakini Shadeeya? Bilashaka tarehe 18 panapo majaaliwa mtaleta kikosi kamili ili kusiwe na sababu kwamba Kalinyo alikua anaumwa, sijui Sapongo kaitwa na wakwe zake!😀Kikubwa Waambieni hao mashabiki wenu watulizane tu hizi blah blah hazina maana.
Picha ya hawa watoto inapendezaMashabiki, Wanachama na Wapenzi wetu wa Young Africans Sc nyinyi ni watu muhimu kwenye maendeleo ya klabu yetu, tuendele kujitokeze kwa wingi kuishangilia timu yetu.
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
@Yangasc
View attachment 1584420