Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread


GSM, SALIM ABDALLAH KUONGOZA KAMATI YA USHINDI STARS

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia, ameunda Kamati ya Ushindi ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) ambayo mwenyekiti wake ni Ghalib Said Mohammed (GSM), Makamu Mwenyekiti ni Salim Abdallah na Katibu wake ni Mhandisi Hersi Said.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF mapema leo, wajumbe wa Kamati hiyo wamo pia Haji Manara, Patrick Kahemele, Jerry Muro na Abdallah Bin Kleb.



Nimefurahishwa na hao wajumbe tu hapo chini. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ japo mmoja hakawii kulia hapo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa pira mlopigiwa na Burundi Jana nyie tff + Simba ni wazi huyu mwamba anaweza akaja kuuwasha moto! Mana inaonyesha falsafa ya makocha Wa Kirundi ni namna ile
Hapo @
Wangeaza kuonyesha maajabu huko kwenye timu zao kwanza Shadeeya
 
Nilikua nimekasirika lakini umenichekesha Wallah ShadeeyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nijuvye hali yako kwa muhtasari kwanzaπŸ€ͺ
Hahahaaa. Cheka tu sababu kiukweli ni wivu tu ndo ulifanya ukakasirika kisa tu kuna Gharib, Injinia na Jerry Murro mzee wa Maudhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…