Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hivi halafu bado nawaza hivi kwa nini huwa mnafungwa sana mbele ya Ma Rais Mtani? 🤔🤔

Mana kama jana tumewafunga mbele ya Rais Mwinyi ujue.

Nafikiri inahusiana na jezi, huwa kuna namna tunajua tukiwakasirisha viongozi wakuu kwa kuzifunga timu za chama chao watanuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…