Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kweli kabisa.
 
Japo mikia wanaweweseka mbaya kuna uzi wanadai eti kafungwa goli 50 msimu mmoja? [emoji848][emoji848]

Hatujawahi fanya usajili wakaacha vibweka.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Simba wako kambini nyinyi mnahangaika na Manara na Mo ligi ikianza lawama kwa TFF, Marefa na bodi ya ligi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…