Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kweli kabisa.[emoji23]
Alikiwa anakosa watu, halafu sikuoenda tu jinsi kocha wenu alivyokuwa anamchezesha RW, nilikuwa natamani kuona anatokea kushoto ambako anakuwa huru kukata kulielekea goli na sio kule kulia akikimbia ni kwenye kibendera inabidi apige krosi ambazo hakuna mtumiaji mzuri,hii kwangu ni winga ya kizamani na kwa mtu kama tuisila unamnyima uhuru.
[emoji881][emoji881][emoji881]