Salamu tumetuma Msimbazi
Tutatoa kipigo cha mbwa mwizi
Hatuogopi hizo zenu hirizi
Asamoah anawangoja kichizi!
Mwaka huu mtakoma na Papic
Kama mlivyolizwa na Kondic
Hata kama hatuna kipa Cuckovic
Tunao mabeki bomba kuliko Vidic
Tumewapa muda ili Phiri aje
Tutaona mkifungwa mtasemaje
Kichapo palepale hata mkifanyaje
Sijua Msimbazi mtarudije!!
ayaaaaaaaaaaaaaaaaa kudadadeki simba kapiga mtu nne,patrick ochan katupia mbili,kijuso moko.na shija mkina moko karibu simba day tarehe nane uwaone rashidi gumbo,amir maftah,patrick ochan na wengineo wengi.