Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

tangu lini simba akawindwa usiku? hapa yanga ilifanya tatizo la kiufundi haswa kwa kukubali
kucheza na myama usiku.

Mnyama hafai kabisa jamaa yangu wa karibu kaninunia toka usiku kila nikimsemesha anajibu eti "aahh1 huu sasa ufala tutapigwaje mbilli bwana!". Ngoja nimuache machungu yapungue,ila nawashauri Mnyama ktk mechi za ligi apige moja,moja tuu maana haliumi sana kama viwili. Tehe tehe!
 
Poleni sana watani leo mmeambulia pointi 1....au mnataka manji.............hahahahaha
 
wapinzani poleni sana, msijali raundi ya pili simba wataanza kudraw halafu mtatwaa tena ubingwa kwa tofauti ya magoli ha ha haaaaaa LOL!!!
 
Jamani huyu Manji yuko wapi? vijana wa Jangwani wanashindwa kucheza vizuri shauri ya njaa na bila Manji ni hatari tupu.
 
Mko wapi wana-yanga: mbona timu yenu inatia huruma!!!! Point 2 kwa mechi 3!!!!!, msimu huu mnalo kwakweli.
 
Huu msimu kwa kweli ni mbaya kwa wanajangwani..
 
Huu msimu kwa kweli ni mbaya kwa wanajangwani..
Wa mwaka jana ndio ulikuwa mbaya zaidi......Lakini mwishowe tukawa mabingwa....

Sema tumeanza msimu vibaya(Kama Arsenali vile).....
 
nafuu yangu ulaya arsenal tanzania simba mnyama!poleni wana arsenal wenye mapenzi na yanga pia!
 
batalanda uko wapi mkuu mpaka sasa mko nyuma kwa goli moja dhidi ya jkt ruvu..
 
wapinzani poleni sana, msijali raundi ya pili simba wataanza kudraw halafu mtatwaa tena ubingwa kwa tofauti ya magoli ha ha haaaaaa LOL!!!
mwaka huu simba hakuna kulala hadi kieleweke na wasipokazana mtani lazima mwakani akacheze ligi na AFC
 
ndio kwanza ungwe ya kwanza imeisha moja moja..

ngoja tuone kama kawa yenu au..
 
Back
Top Bottom