Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Yanga mtajutia nafasi zaidi ya 10 mlizopoteza! Yanga ingepaswa iwe inaongoza hata kwa goli 4!
Sasa kwa matokeo haya,hakika mmeshapoteza. Jamaa walivyo na fitna,sijui game ya pili mtatokaje.
Hakika ningependa sana Yanga ishinde,lakini wananisikitisha.
Sasa kwa matokeo haya,hakika mmeshapoteza. Jamaa walivyo na fitna,sijui game ya pili mtatokaje.
Hakika ningependa sana Yanga ishinde,lakini wananisikitisha.