Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kuna siku nilikuwa natembelea Youtube nikagongana na ile video aliyokuwa anaomba kura kama sikosei aliahidi kutoa bilioni 2 kama sikosei halafu watu wanamshangilia basi nikajikuta nina hasira tu.Mmewalea sana viongozi wenu. Mliposikia Profesa mkadhani atakua ni muarubaini wa kuwavusha kuelekea kwenye neema! Ingikua ni Yanga ya zamani ile ya wenye klabu yao hasaa, Wallah bakora zishatembea saa hizi