Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ila nimependa angalau sasa hivi tunajitahidi kwenye kutafuta pesa hasa baada ya kufungua banda letu kule 7 7.

Kwani nimeona watakuwepo wataalamu wa kuwaelekeza mashabiki wetu namna ya kuitumia App ambapo wakiungwa watu kwa wingi hapo ni lazima pesa itaingia kwa klabu.
Pata picha ingekuwa barakoa fc na yale marangi yao....
Watu wangelilikimbia hilo banda wakidhani ni kwa vinyamkera
Screenshot_20200703-134101.jpg
 
Sina hakika kama alipiga zoezi lakini alikuwepo jana.

Huyu Ninja na yule Haji Mwinyi wanaihusudu sana Timu ya Wananchi. Ile game ya 2-2 walikuwepo nao Taifa wakiifuatilia wakati kila mmoja alikuwa na timu yake.
Sijaelewa hapa dada Shadeeya kila mmoja na timu yake kivipi?
 
Kumpa Morrison 100m ili acheze Game ya simba huo ni Uzwazwa na Kweli yangwa ni utopolo
 
Back
Top Bottom