Sio lazima uelewa saivi, hata baadae utaelewa tu, na ww screenshot vile vile
The thing is, sio muda gani wamekaa pamoja, ila je, maandalizi ya michezo yenu yatakua sawa na haya? je, wachezaj watakua na hii performance? ukumbuke, wachezaj wote walienda prove something kwamba wanastahili kuvaa uzi wa Yanga.. so naamn walijitoa 100% .. kinachosikitisha ni aina ya matokeo mliyopata, matokeo hafifu kwenye ubora wenu , mechi nyingine ambayo inaweza kua na haya maandiliz labda ni mechi vs Simba.. tofaut na hapo hakuna