Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

AFE45A02-AE0C-4064-9AD2-9D383FDD01F9.jpeg
94414C16-86A9-49CF-AD83-F73A81F363CF.jpeg
E00727A4-E8A4-4411-9599-582A8DC3C040.jpeg
5A4811C9-2CB1-46F2-911B-C6CE388E9A49.jpeg
AEDCD245-AD48-43D9-BE60-E33A87011B28.jpeg
24F6AA61-F17A-41DC-9ECC-2E887221A161.jpeg
C23FBD03-C74C-43A6-8218-0BB23B11C688.jpeg
8FC7C804-BBDC-45F6-8DC7-DE10B5705722.jpeg
B8B35D02-1291-42EE-A140-03B6972351B7.jpeg
 
Kimeanza kunuka mapemaaaa. Lol

Wasiojielewa wanamdharau na kumbeza Kigwangwala eti kisa wanachotaka wao ni kufurahi na kujisahaulisha kwamba kauliza maswali ya msingi. [emoji23][emoji23]

#Wameuzwaaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda Twitter chap..

Mkulungwa kigwangala anaongoza 4-1 huko,Ni mwendo wa spana tu.
 
Kimeanza kunuka mapemaaaa. Lol

Wasiojielewa wanamdharau na kumbeza Kigwangwala eti kisa wanachotaka wao ni kufurahi na kujisahaulisha kwamba kauliza maswali ya msingi. [emoji23][emoji23]

#Wameuzwaaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hamna cha msingi hapo akijitoa mhindi simba haina tofauti na majimaji
 
Nenda Twitter chap..

Mkulungwa kigwangala anaongoza 4-1 huko,Ni mwendo wa spana tu.
Hahahaa. Kumbe goli zimeongezeka mana niliacha 3 - 1. Hahahahahaaaaa.

Wacha niwahi natumai sio bao la mkono. 😂😂
 
Back
Top Bottom