Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Mbwa kabisa hawa.Achana na MATAHIRA haya! Umesahau yameimba Sana Chamason, mikisoni, morisoni, Boccosoni ... Imeishia wapi??? Mbwa hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa kabisa hawa.Achana na MATAHIRA haya! Umesahau yameimba Sana Chamason, mikisoni, morisoni, Boccosoni ... Imeishia wapi??? Mbwa hawa
Cedric anakusanya ndugu zake , hajawah maliza zaid ya mwaka , mwaka huu huu mnaweza achana nae , nimeshindwa elewa n kiwango au majeruhiView attachment 1678872
Wenye Wasifu wa huyu jamaa mtupatie wana Jangwani.
Atakuwa na maajabu au ndo tumsubirie Uwanjani?
Mi mwenyewe niliposikia ni Mrundi kuna ka hali fulani nikajikuta ninako.Cedric anakusanya ndugu zake , hajawah maliza zaid ya mwaka , mwaka huu huu mnaweza achana nae , nimeshindwa elewa n kiwango au majeruhi
Kafanya vizuri club 2 kati ya 8/9 alizocheza
Yule mzee wa Ikwiriri Alishasema mtu yoyote akitaka kuivuruga Yanga anapiga sanda nyeupe na kumpeleka upande wa pili wa maisha. NAOMBA NIISHIE HAPOHivi wale wazee wa yanga wamemfanyaje Morisson. Au ni tetesi tu kuwa anaachwa solemba
Nilichoka majuzi kuna mtu alisema huyo Morison ana B u s h a eti. 😂😂😂😂Hivi wale wazee wa yanga wamemfanyaje Morisson. Au ni tetesi tu kuwa anaachwa solemba
Wazee wa kusajili magarasa 😷View attachment 1678872
Wenye Wasifu wa huyu jamaa mtupatie wana Jangwani.
Atakuwa na maajabu au ndo tumsubirie Uwanjani?
Kwahyo mchezaji kwenda kwao ulitaka asiende?Wenyewe wanaondoka [emoji16][emoji16][emoji16].
Walikuja kwa mbwembwe nyingiiii.
Kwahyo mchezaji kwenda kwao ulitaka asiende?
Mtani kwani unateseka. 😅Wazee wa kusajili magarasa 😷
Halafu Mtani, mie mbona nikitaka kubold maneno kupitia simu humu jf inanigomea. Unabonyeza wapi eti? Au unatumia PC.Wazee wa kusajili magarasa 😷
Duuh!!Mwambusi kocha wetu msaidizi ataachana na timu kwasababu za kiafya
Yawezekana jamaa anajiamini ana uwezo Mkubwa ila kila anapoenda hapati nafasi ya kutosha kama malengo yake hivyo inabidi awe anasepa tu. Alipokuwa JS Kabylie ya Algeria wakati jamaa anataka kuondoka jamaa waliweka price tag yake Euro Laki 3 hivyo kwa hilo tu unaweza kuona si Wa kawaida.Cedric anakusanya ndugu zake , hajawah maliza zaid ya mwaka , mwaka huu huu mnaweza achana nae , nimeshindwa elewa n kiwango au majeruhi
Kafanya vizuri club 2 kati ya 8/9 alizocheza
Huyo mchezaji ni mzuri na ishu ya kuwa mburundi mi nadhani siyo jambo cha msingi aje afanye kama tunavyotarajia basi. Kwenye 2019 AFCON QUALIFICATIONS huyu kijana alikuwa Wa pili kwa ufungaji akiwa na magoli 6 Huku akipitwa na Odion Ighalo Wa Nigeria kwa goli moja. Kumbuka humo kulikuwa na kina Mohammed Sallah, Sadio Mane n.kMi mwenyewe niliposikia ni Mrundi kuna ka hali fulani nikajikuta ninako.
All in All acha tuone jamaa ana kipi kipya na pia hatuombei iwe hivyo kwamba Kocha tuachane naye ndani ya muda mfupi tu.
Ha ha ha haYule mzee wa Ikwiriri Alishasema mtu yoyote akitaka kuivuruga Yanga anapiga sanda nyeupe na kumpeleka upande wa pili wa maisha. NAOMBA NIISHIE HAPO
Jidanganyeni tu jamaa kaenda mapumziko tu!Wenyewe wanaondoka [emoji16][emoji16][emoji16].
Walikuja kwa mbwembwe nyingiiii.