Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ila kukubali bao nyingi namna hii kunaturudisha nyuma aisee.

Mana mwisho wa siku ni sawa hakuna kitu katika kuongeza utofauti wa idadi ya mabao dhidi ya yule tunayekimbizana naye.
 
Bila kujali matokeo ya mwisho yatakuwaje, kuruhusu bao 3 ni ishara mbaya utakapokutana na Simba 😅😅😅
Achilia hivyo tu hata ile goal difference bado tutakuwa mbali sana na nyie.

Kwani kama leo mpaka sasa ni sawa na hakuna kitu tumefanya.
 
Hayo Mazezeta nilijua hayana pumzi ya kuhimili dk 45 za mwisho za jasho na mateso kutoka kwa Yanga.
Hahahaa. Hueleweki mbona. 😂😂😂😂

Sasa watapataje bao la nne ukishawaita mazezeta. 😅😅
 
20210217_204353.jpg
 
Ni heri tungemsajili huyu mtoto wa nyumbani Muhilu (mpambanaji) kuliko yule tycoon wa Mwanza
 
Ni heri tungemsajili huyu mtoto wa nyumbani Muhilu (mpambanaji) kuliko yule tycoon wa Mwanza
Sisi wenyewe tulimuachaga kwa kumuona hana ubora.

Sasa hivi kila tukicheza naye anatukomesha.
 
Back
Top Bottom