Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Mfia timu [emoji16][emoji16][emoji16]Kwa jinsi tulivyocheza first round ubingwa ulikuwa wetu kabisa Mtani sema second round zile sare na kufungwa ndo kukaharibu kila kitu.
Sidhani kama wanahitaji lawama zaidi ya kukiboresha zaidi kikosi ili next season tufanye vyema zaidi.