Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mediocre player

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kosi kama kosi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220715-095002.jpg
 
Hivi Djuma Shaban, kwanini viongozi hawakumletea msaidizi? Kwenye kukaba ana shida ila kwenye kupeleka mashambulizi yupo fresh sana
Kibwana Shomari Anarudi Upande Wake Kama Backup..ila Nae Kibwana Kukaba Yuko Vizuri Lakini Kwenye Kushambulia Hana Makali Hasa Mipira Yake Ya Krosi Huwa Haipigi Vizuri...Yani Mabeki Wa Pembeni Mara Nyingi Kati Ya Kuzuia Na Kushambulia Wanakuwaga Na Kimoja Wapo Wanachofanya Vizuri Zaidi Kuzidi Kingine... Kumpata Beki Wa Pembeni Anayekupa Vyote Hivo Kwa Ubora Wa Hali Ya Juu Sio Rahisi.
 
Back
Top Bottom