Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mr Burudani [emoji23][emoji91]
20231013_170752.jpg
 
Anajua timu ikisha jihakikishia ushindi ndo awekwe atoe radha
Huyu jamaa alikuwa kwenye first 11 ya Gamondi kabla hajaumia kilichomtoa ni performance aliyoonesha pacome kipindi yy anauguza majeraha, ni mchezaji anayestahili kuwa kwenye first 11 ukiachilia mbali izo nutmegs anazofanya ukimuangalia uchezaji wake kwanza ana spidi na maamuzi yake ni sahihi kwa asilimia kubwa, hapotezi mipira pasi ikiienda kwake haipotei kizembe na akitoa pasi uhakika hapigi pasi mkaa, pia ni mtengenezaji mzuri wa nafasi na anapofanya movement zake kwenda golini anaonekana tu ni mtu hatari....kitakacho muangusha kule mbele ni kucheza na mshambuliaji wa hovyo kama mzize.
 
Hivi Musonda yuko wapi?

My observations kutoka mechi ya jana.
  1. Kocha alifanya dangerous experimentation ya kuwachezesha wachezaji nje ya nafasi zao asili. Pacome, Job na Maxi
  2. Mudathir sio wa kuanza kati na Aucho, badala yake Pacome aanze nafasi ile Muda aingie baadaye
  3. Kennedy lazima aanze tu kwa kikkosi hiki, hatuna striker zaidi yake, pia angetusaidia kuwa kama winga
  4. Lazima tununue mawingi halisi na srtiker halisi dirisha dogo.
  5. Moloko, Skudu, Konkoni wapewe THANK YOU!
Hapo namba 5 wapewe muda bwana! Kwenye ligi wanatosha ila champions league nafikri tutakuwa na offer ya kuongeza wachezaji! Hapo ndipo tupate striker wa kucheza huko!
 
YANGA SC WANANCHI WAKO JUU SIO KITOTO

Sio siku nyingi taarifa ilitoka kuhusiana na klabu ya Yanga Sc ndio timu Bora zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati na ni timu bora namba 3 Afrika watu kama wakawa na mashaka.

Unakuwaje na mashaka na klabu pekee Tanzania yenye medali ya CAF kutokana na kuwa finalist kwenye mashindano ya CAF INTERCLUBS?

Unakuwaje na mashaka na klabu ambayo ndio back to back domestic treble Winners ambayo msimu mmoja domestic treble ilisindikizwa na Unbeaten record?

THIS IS FACTS AND HERE WE SPIT FACTS ONLY LADIES AND GENTLEMEN

Yanga Sc wakiwa wanaendeleza ubabe wao msimu huu kwa 5G's na soka safi idara ya Habari na Mawasiliano pamoja na Maudhui nayo dunia ikaendelea kuwatambua kwa ubora wa contents zao na hamasa kwa vitendo na uthubutu ikiwemo zile Maxi na Aziz Ki Days pamoja na safari ya Rwanda Kigali katika mechi ya Kimataifa.

Kama haitoshi Klabu ya Yanga Sc ndio klabu pekee Afrika Mashariki kwa sasa iliyomo katika kinyang'anyiro cha tuzo zinazotambulika na Shirikisho la soka Afrika kama CAF AWARDS 2023 katika category ya klabu bora ya mwaka barani Afrika.

Yanga Sc hii hii ina mlinda mlango wake Djigui Diarra katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya kipa bora Afrika akichuana na makipa wenzako hodari kama Andre Onana, Yasine Bounou, El Shennawi na wengineo.

Nikuongezee hii ndugu Mgeni Rasmi..
Akiyafanya makubwa haya akiwa katika klabu ya Fiston Kalala Mayele yuko katika tuzo za kuwania mchezaji bora wa Afrika. Ndio, Mayele anachuana na akina Mane, Mahrez, Yves Bissouma na wengineo kwa tuzo hii.

Kama haitoshi Mayele na Djigui Diarra wako katika kinyang'anyiro cha kuwania mchezaji bora Afrika kwa ligi ya ndani wakichuana na miamba mingine kama Peter Shalulile, Percy Tau, Yahya Jabrane, Makabi Lilepo na wengineo.

We all know wachezaji wengi wa National team wanatoka klabu gani bongo right? Au Basi .

Je hii haitoshi kukiri nilichokisema kwa mara kadhaa huko kuhusu ubora wa klabu hii kongwe na kubwa zaidi Tanzania?

Yanga Sc kwa sasa ndio klabu bora zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati ndani.ya kiwanja na kidigitali na facts are wide open. HUU NI UKWELI MCHUNGU
 
56106981-d055-4941-a845-31270e56327e.jpeg


... 🚘 | 𝗠𝗔𝗫 𝗡𝗭𝗘𝗡𝗚𝗘𝗟𝗜

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC, Max Nzengeli (23) amepewa gari jipya aina ya TOYOTA CROWN 2020 na mabosi wa Yanga ikiwa ni sehemu ya mkataba wa maboresho kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Pia ni motisha Kuelekea michezo inayofuata baada ya kuonesha kiwango kizuri.
 
... 🚨 | 𝗞𝗔𝗙𝗨𝗡𝗚𝗜𝗪𝗔

Mwamuzi aliyekubali goli la Off-side la Azam FC dhidi ya Yanga amefungiwa.

Mwamuzi msaidizi namba 1 wa Mchezo tajwa hapo juu, Janneth Balama (Iringa) ameondoshwa kwenye ratiba ya waamuzi kwa mizunguko (3) kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za soka katika Mchezo tajwa hapo juu.

©️ Bodi ya ligi
 
... [emoji3538] | 𝗞𝗔𝗥𝗜𝗔𝗞𝗢𝗢 𝗗𝗘𝗥𝗕𝗬

Vikosi vilivyoanza Tanga, ungependa viingie hivi hivi au vibadilishwe, je ni maeneo gani ?

𝗬𝗼𝘂𝗻𝗴 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗰𝗮𝗻𝘀 𝗦𝗖

◉ Diarra
◉ Yao Kouassi
◉ Lomalisa
◉ Mwamnyeto
◉ Ibra Bacca
◉ Aucho Khalid
◉ Max Nzengeli
◉ Mudathir
◉ Mzize
◉ Musonda
◉ Moloko

Substitute

◎ Metacha — 0' min
◎ Kibabage — 0' min
◎ Job — 0' min
◎ Gift Fred — 0' min
◎ Mkude Jonas — 0' min
◎ Sure boy — 0' min
◎ Pacome — 10' min
◎ Aziz Ki — 25' min
◎ Konkoni — 5' min

𝗦𝗶𝗺𝗯𝗮 𝘀𝗽𝗼𝗿𝘁𝘀 𝗰𝗹𝘂𝗯 :

◉ Ally Salim
◉ Kapombe
◉ Zimbwe Jr
◉ Kennedy
◉ Che Malone
◉ Kanoute
◉ Chama
◉ Mzamiru
◉ Bocco
◉ Ntibazonkiza
◉ Miquissone

Substitute :

◎ Abel — 0' min
◎ Israel — 0' min
◎ Kazi — 0' min
◎ Fabrice Ngoma — 45' min
◎ Aubin Kramo — 0' min
◎ Baleke — 40' min
◎ Kibu Denis — 45' min
◎ Moses Phiri — 5' min
◎ Onana — 30' min
 
... [emoji3538] | 𝗞𝗔𝗥𝗜𝗔𝗞𝗢𝗢 𝗗𝗘𝗥𝗕𝗬

Vikosi vilivyoanza Tanga, ungependa viingie hivi hivi au vibadilishwe, je ni maeneo gani ?

𝗬𝗼𝘂𝗻𝗴 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗰𝗮𝗻𝘀 𝗦𝗖

◉ Diarra
◉ Yao Kouassi
◉ Lomalisa
◉ Mwamnyeto
◉ Ibra Bacca
◉ Aucho Khalid
◉ Max Nzengeli
◉ Mudathir
◉ Mzize
◉ Musonda
◉ Moloko

Substitute

◎ Metacha — 0' min
◎ Kibabage — 0' min
◎ Job — 0' min
◎ Gift Fred — 0' min
◎ Mkude Jonas — 0' min
◎ Sure boy — 0' min
◎ Pacome — 10' min
◎ Aziz Ki — 25' min
◎ Konkoni — 5' min

𝗦𝗶𝗺𝗯𝗮 𝘀𝗽𝗼𝗿𝘁𝘀 𝗰𝗹𝘂𝗯 :

◉ Ally Salim
◉ Kapombe
◉ Zimbwe Jr
◉ Kennedy
◉ Che Malone
◉ Kanoute
◉ Chama
◉ Mzamiru
◉ Bocco
◉ Ntibazonkiza
◉ Miquissone

Substitute :

◎ Abel — 0' min
◎ Israel — 0' min
◎ Kazi — 0' min
◎ Fabrice Ngoma — 45' min
◎ Aubin Kramo — 0' min
◎ Baleke — 40' min
◎ Kibu Denis — 45' min
◎ Moses Phiri — 5' min
◎ Onana — 30' min
Nisingependa kumuona mzize akianza, af ngushi, nkane, kibwana shomari na mauya wasicheze kabisa, walobaki kwa atakavyopanga fresh tu.
 
Back
Top Bottom