Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Leo 23/12/2023 tunakipiga na Tabora United hii ndo game yetu ya mwisho mwaka huu Kwa upande wa NBC PREMIER LEAGUE...
Hii timu ni mpya kwenye na hatujawahi kucheza nayo by the way ni timu inayopitia misukosuko mingi ya kufungiwa kusajili wachezaji kutokana na madeni mengi kutokana na kuvunja kiholela mikataba na wachezaji wao wa zamani....
Leo tunahitaji ushindi mkubwa kama zawadi ya Xmas lakini pia kujiweka kwenye position nzuri ya kutetea ubingwa wetu...
Natamani kumuona Clement Mzize akipewa nafasi na Gamondi I hope he gonna perform well...
All the best wananchiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji91]
Hii timu ni mpya kwenye na hatujawahi kucheza nayo by the way ni timu inayopitia misukosuko mingi ya kufungiwa kusajili wachezaji kutokana na madeni mengi kutokana na kuvunja kiholela mikataba na wachezaji wao wa zamani....
Leo tunahitaji ushindi mkubwa kama zawadi ya Xmas lakini pia kujiweka kwenye position nzuri ya kutetea ubingwa wetu...
Natamani kumuona Clement Mzize akipewa nafasi na Gamondi I hope he gonna perform well...
All the best wananchiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji91]