Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
- Thread starter
- #21
Mkuu hapo chini si nimetoa credit au hujaiona?Mtoa maada huna budi kumnukuu aliyeandika hili andiko nimeliona sehemu
©GP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo chini si nimetoa credit au hujaiona?Mtoa maada huna budi kumnukuu aliyeandika hili andiko nimeliona sehemu
Njia ya sanduku imefeli vibaya sana tena zaidi ya mara moja. Toa ushauri mwingine nini kifanyike kiongoziSehemu pekee tuliyoshauriwa kuenda ni Burundi. Najilaumu kujinyima haki yangu ya kutumia vote yangu 2015. Inawezekana tunalaumu lakini bado tuna uoga wa kufanya mabadiliko 2025.
Guys there must be a stop to all these stupid and unethical stuffs the government is doing each day.
.
#StandAtyourRightplace
Suala la mabando wasanii hawajawahi kuipigia kelele maana kwao siyo ishu wanazimudu bila kuangalia upande mwingine wa shilingi ,waache waipate na wao
Ukienda sekunde limeishaBuku Mb 300 halafu uende Youtube...thubutu
Buku Mb 300 halafu uende Youtube...thubutu
Daaah ama kweli watu tuna tofautiana sana.Mimi naweza kumaliza hata mwezi bila kuingia Youtube,na mara nyingi naingia kuchungulia nilipata notification za accounts nilizo-subscribe.Wanafyonza MB's Hadi uroto wa kwenye mifuba...Mimi na MB zangu 600 naingia YouTube mguu mmoja Upo nje nikimaliza natoka mbio kama mbuzi....Lkn mm nateseka Sana maana YouTube Nina addiction nao
Kwa mtandao gani maana mimi nilikua natumia kwa halotel wakaiondoaMbna kuna mserereko mm naupata kutoka kwa HA tuunel plus. Iko bomba San
tunaenda kufata nyayo za anguko la wakenya na uganda, walikuwa wanaitamani sana nafasi yetu, hasa hawa wakenya wanaweza kurudikwa kasi ya ajabuKuna ukweli mkuu, mambo ni magumu mno.
ilifika kipindi hadi wanafunzi wa sekondari kwao data haikuwa shida na walikuwa hawapitwi na videos za youtube, kwa sasa wengi wao hawaijui kabisa dataMara ya mwisho kuingia YouTube sikumbuki