Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Nimekwambia pale juu kuwa una huruma na uwezo mdogo wa mlala hoi ila huna huruma ya kumtoa hapo alipo.
Kwa maelezo yako nianavyo ni kuendelea kumfanya mlala hoi awe na uwezo mdogo wa kununua .
Mvaa mitumba ameathiliwa na uwepo wa mitumba. Mitumba inamsaidia hapo hapo unamdumaza kiuchumi mara 3 zaidi.
Mkulima wa pamba ambae angeuza pamba yake kwa bei nzuri kiwandani angeweza kununua nguo mpya.
Muuza mitumba angefungua duka la kuuza nguo mpya badala ya mitumba.
Mshona nguo angepata order nyingi zaidi kwenye kampuni za kuuza nguo.
sekta ya logistic ingekuwa zaidi kwa mzunguko wa uzalishaji nguo, export ingekuwa kubwa zaidi na kutusaidia kupata dola ambayo tungeitumia kununua heavy duty textile machine( huu ni mlishano wenye tija ya kumuinua mlala hoi)
Miitumba imeua huo mzunguko wote kwenye sekta ya nguo, ni vipi mlsla hoi atainuka?.
Mfano hapa nilipo tunalima viazi mviringo. Bei ya viazi inapokywa juu kila myu anapata nguvu ya kununua, na inaposhuka kila mtu anauwezo wa kuvila viazi na kusaza ila hakuna mwenye hela kila mtu anakuwa masikini. ndio case ya mitumba
Mitumba inatengeneza vicious cirle ya umasikini mbaya sana si utajiri na kujikomboa.
Masikini mmoja anaongeza umasikini kwa mwenzie. Wanaonufaika kwenye mitumba ni wahindi, wazingu na madalali wachache.
Twende kwenye vuwanda vya nguo kila kitu kitajurekebisha chenyewe, tupo ktk karne ya sayansi na teknolojia uwekezaji ndio kila kitu.
Hakuna atakaetembea uchi.
Tukizungumzia kiwanda hatuzungumzii tu wafanyakazi wa mle kiwandani.
Kiwanda kinaanzia kule malighafi ilipozalishwa mpaka kuwa bidha.
Mimi siangalii kiwanda kwa maana ya wafanyakazi, hao ni sehemu ndogo sana ktk industrislization.
BRICKS wanataka kuondoka ktk utumwa wa DOLLAR, je wakatae kisa kuna mambo watayakosa? Unadhani kwamba BRICKS kuna vitu hawatavikosa ?
Kama wenzetu wanatoka kwenye jambo kubwa la kutegemea DOLLAR sisi ni nani tushindwe jambo dogo la nguo !
Kuhama kutoka kwenye mitumba nalo ni kubwa sana kama tukisema sasa mitambo na madawa ya west bas ?
Kama tu tunapingana kutoka katika mitumba tunaweza kukubaliana kujitegemea sekta kubwa kubwa mfano military, medicine nk.
TRANSFORMATION ina gharana zake but in long run it is fruitful!
Noipo tiyari kuvaa magome iwapo yu bionhozi wangu wataonesha nia ya kweli.
Nwabafalsafa nguli wa kiafrika MALCOM X
aliongekea
HOUSE NEGRO
FIELLD NEGRO.
Huoni unatuhamasisha kuendelea kywa HOUSE NEGRO oli tuke makombo ya mzungu.
Kwa nini karne ya 21 uwe HOUSE NEGRO?
Bto viongozi wetu gawajatai mutumba kwa sababu haitusaidii bali jwa sababu inatudhalolisha na kudololesha UCHUMI WA NCHI.
Kumbuka hapa hatuzungumzii mimi na wewe, tunazungumzia jamii tunazungumzia Africa. NEO AFRICANISM!
Nje ya mada :
Halafu nyie wachumi mbuni mbinu zinazoendana na mazingira yetu, theory za wazungu mnazonukuu zimefeli kufanya kazi hapa Afrika ndio maana tunaendelea kuwa na mataifa masikini na wachumi wamejazana tu na kuzipotosha serikali zetu.
Ndio maana raisi JPM aliwapuuzia mbali akafanya mambo yske ba yakaenda.
WARABU,WACHINA hawajatumia theory za wazungu kuinua UCHUMI wao bado nchi zao zina excel. Wanathibitisha kuwa tunaweza endelea bila theory za hao wazungu.
Kwa maelezo yako nianavyo ni kuendelea kumfanya mlala hoi awe na uwezo mdogo wa kununua .
Mvaa mitumba ameathiliwa na uwepo wa mitumba. Mitumba inamsaidia hapo hapo unamdumaza kiuchumi mara 3 zaidi.
Mkulima wa pamba ambae angeuza pamba yake kwa bei nzuri kiwandani angeweza kununua nguo mpya.
Muuza mitumba angefungua duka la kuuza nguo mpya badala ya mitumba.
Mshona nguo angepata order nyingi zaidi kwenye kampuni za kuuza nguo.
sekta ya logistic ingekuwa zaidi kwa mzunguko wa uzalishaji nguo, export ingekuwa kubwa zaidi na kutusaidia kupata dola ambayo tungeitumia kununua heavy duty textile machine( huu ni mlishano wenye tija ya kumuinua mlala hoi)
Miitumba imeua huo mzunguko wote kwenye sekta ya nguo, ni vipi mlsla hoi atainuka?.
Mfano hapa nilipo tunalima viazi mviringo. Bei ya viazi inapokywa juu kila myu anapata nguvu ya kununua, na inaposhuka kila mtu anauwezo wa kuvila viazi na kusaza ila hakuna mwenye hela kila mtu anakuwa masikini. ndio case ya mitumba
Mitumba inatengeneza vicious cirle ya umasikini mbaya sana si utajiri na kujikomboa.
Masikini mmoja anaongeza umasikini kwa mwenzie. Wanaonufaika kwenye mitumba ni wahindi, wazingu na madalali wachache.
Twende kwenye vuwanda vya nguo kila kitu kitajurekebisha chenyewe, tupo ktk karne ya sayansi na teknolojia uwekezaji ndio kila kitu.
Hakuna atakaetembea uchi.
Tukizungumzia kiwanda hatuzungumzii tu wafanyakazi wa mle kiwandani.
Kiwanda kinaanzia kule malighafi ilipozalishwa mpaka kuwa bidha.
Mimi siangalii kiwanda kwa maana ya wafanyakazi, hao ni sehemu ndogo sana ktk industrislization.
Bro hakuna TRANSFORMATION/ TRANSITION isio na gharama.bila hayo so called malonya unayoyaitwa wewe angekaa uchi au kuvaa kauka nikuvae ni bora zaidi ?
BRICKS wanataka kuondoka ktk utumwa wa DOLLAR, je wakatae kisa kuna mambo watayakosa? Unadhani kwamba BRICKS kuna vitu hawatavikosa ?
Kama wenzetu wanatoka kwenye jambo kubwa la kutegemea DOLLAR sisi ni nani tushindwe jambo dogo la nguo !
Kuhama kutoka kwenye mitumba nalo ni kubwa sana kama tukisema sasa mitambo na madawa ya west bas ?
Kama tu tunapingana kutoka katika mitumba tunaweza kukubaliana kujitegemea sekta kubwa kubwa mfano military, medicine nk.
TRANSFORMATION ina gharana zake but in long run it is fruitful!
Noipo tiyari kuvaa magome iwapo yu bionhozi wangu wataonesha nia ya kweli.
Nwabafalsafa nguli wa kiafrika MALCOM X
aliongekea
HOUSE NEGRO
FIELLD NEGRO.
Huoni unatuhamasisha kuendelea kywa HOUSE NEGRO oli tuke makombo ya mzungu.
Kwa nini karne ya 21 uwe HOUSE NEGRO?
Bto viongozi wetu gawajatai mutumba kwa sababu haitusaidii bali jwa sababu inatudhalolisha na kudololesha UCHUMI WA NCHI.
Aliyekwambia uvae mtumba ni nani kama wewe you can afford kashone au kanunue zile nguo ambazo zikipigwa upepo zinapauka...,
Kumbuka hapa hatuzungumzii mimi na wewe, tunazungumzia jamii tunazungumzia Africa. NEO AFRICANISM!
Nje ya mada :
Halafu nyie wachumi mbuni mbinu zinazoendana na mazingira yetu, theory za wazungu mnazonukuu zimefeli kufanya kazi hapa Afrika ndio maana tunaendelea kuwa na mataifa masikini na wachumi wamejazana tu na kuzipotosha serikali zetu.
Ndio maana raisi JPM aliwapuuzia mbali akafanya mambo yske ba yakaenda.
WARABU,WACHINA hawajatumia theory za wazungu kuinua UCHUMI wao bado nchi zao zina excel. Wanathibitisha kuwa tunaweza endelea bila theory za hao wazungu.