Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.

Ubaya hauna kwao.

Mwisho wa ubaya ni aibu.

Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Kamanda acha kutudhalilisha
 
1622578973688.jpeg

Ndugai huyu huyu aliyepitisha sheria akiwa Spika halafu anashangaa aliipitishaje?
 
Ndugai huyu huyu aliyepitisha sheria akiwa Spika halafu anashangaa aliipitishaje?
Nduguyai Sasa anaweweseka. Hata Sheria alizopitisha mwenyewe hazijui. Pathetic.
Siku zote nauliza elimu ya nduguyai Ni darasa la ngapi?
 
Mkuu..tena nasikia Chato kuna joto kali sana..nafikiri sababu itakua mzigo una decompose huko chini kisawasawa..
MUNGU AMETUTENDEA MAKUU SANA Watanzania.
Muhimu ni kuwadanganya wasukuma kuwa pale alipofukiwa kuna dalili za dhahabu, mtashangaa wachimbaji wadogo wamevamia na kutupilia mbali kilichohifadhiwa pale
 
Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.

Ubaya hauna kwao.

Mwisho wa ubaya ni aibu.

Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Mfufue jiwe kesi ianze bloo
 
Back
Top Bottom