kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #81
Wafuasi wenyewe pia wamekwama maana kaawacha njiani!Basi waulize wafuasi wake, ila juzi nilimwona twitter anazungumzia ishu ya Museven na Uganda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafuasi wenyewe pia wamekwama maana kaawacha njiani!Basi waulize wafuasi wake, ila juzi nilimwona twitter anazungumzia ishu ya Museven na Uganda
Kamanda acha kutudhalilishaAmekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.
Ubaya hauna kwao.
Mwisho wa ubaya ni aibu.
Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Sijakuelewa!Kamanda acha kutudhalilisha
Makamanda, Amsterdam ametuacha vibaya.Sijakuelewa!
Du! Ngumu kumeza!!Umepoteza mkuu hiyo ni meli ya mizinga!
Tanzania kuishi bila dikiteeta inawezekanaIko wapi ina mbunge mmoja nchi nzima 2025 ndio mtapoteana kabisa!
Nawaonea huruma wazazi wako maana wamepata hasara kumzaa kichaa kama wewe.Umepoteza mkuu hiyo ni meli ya mizinga!
Huna akiliSijakuelewa!
Ndugai huyu huyu aliyepitisha sheria akiwa Spika halafu anashangaa aliipitishaje?
Tanzania hakuna dikteta!Tanzania kuishi bila dikiteeta inawezekana
Huwezi kufuta upinzani hata ndani ya nyumba yako kwani binadamu wote hawawezi kua na itikadi moja.Yuko wapi Jiwe aliyesema ameufuta upinzani?
Nduguyai Sasa anaweweseka. Hata Sheria alizopitisha mwenyewe hazijui. Pathetic.Ndugai huyu huyu aliyepitisha sheria akiwa Spika halafu anashangaa aliipitishaje?
Muhimu ni kuwadanganya wasukuma kuwa pale alipofukiwa kuna dalili za dhahabu, mtashangaa wachimbaji wadogo wamevamia na kutupilia mbali kilichohifadhiwa paleMkuu..tena nasikia Chato kuna joto kali sana..nafikiri sababu itakua mzigo una decompose huko chini kisawasawa..
MUNGU AMETUTENDEA MAKUU SANA Watanzania.
Mfufue jiwe kesi ianze blooAmekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.
Ubaya hauna kwao.
Mwisho wa ubaya ni aibu.
Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
HahahahahahahaMuhimu ni kuwadanganya wasukuma kuwa pale alipofukiwa kuna dalili za dhahabu, mtashangaa wachimbaji wadogo wamevamia na kutupilia mbali kilichohifadhiwa pale
Mungu akupe maisha marefu!Mfufue jiwe kesi ianze bloo
AminaMungu akupe maisha marefu!
Nani huyo..Kala hela za chadema mwishowe akaona hela hazitoshi akamwita na mhusika ila akae nae kabisa
Pumbafu kahaba weweAmina