Adam malima ndo alikua na makosa gari ipo wrong parking alaf anaambiwa anajibu "unanijua Mimi ni nani"? Hao askari Mimi nawasifu hakuna aliejuu ya sheriaHalafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi Adam Malima.
Nataka nijue wako wapi hivi sasa. Walipandishwa vyeo baada ya tukio lile? Walisimamishwa kazi? Waliondolewa Dar na kupelekwa mikoa mingine?.
Ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
Yule ni chawa alitetea ugali wake mbele ya beans zake yako wapi sasa wamebaki yatima.Ndo itajulikana alikuwa sahihi auInahitaji akili kubwa kuelewa uhuru, utii na mamlaka ya uteuzi, Kisanduku alikuwa sahihi kbsa.
Yule ni chawa wa bashite, usalama aliyekula mafunzo utumia akili na sio nguvuAlafu usalama wa taifa kazi yao siyo kukamata hawana nguvu yeyote ya kisheria inayoruhusu wao kukamata, wenye mamlaka ya kukamata ni polisi, alichokua anafanya huyo kisanduku ni utekaji hawa ndo wakiburuzwa mahakamani wanabaki kusema nilitumwa na mamlaka lakini wanakua tayari wamevunja sheria kama sabaya
Najaribu kufikiria. Kuna wanaosema hii bado ni awamu ya 5 part 2 inayomaliziwa na co-pilot (captain ad interim) baada ya captain kuzimika ghafla angani. Polepole anasimamia hoja hii na bado hajafikishwa hukumuni.Mama akumbuke kwamba 2025 wanaccm wote tuna haki sawa ya kugombea, hana ujanja.
Mwaka 2025 sio mwaka wa kuchapisha form 1 ya urais, ni form kama zote na mimi nachukua.
Kisanduku yuko huko huko ndani analinda wengineNa yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku
Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.
Kisanduku Kisanduku😆😆
Kwahio unawafundisha vijana / watoto wa leo kunyenyekea na kutokusimamia msimamo wao ili kesho au keshokutwa wapate maslahi (kumbuka uwaziri ni maslahi na sio the ultimate prize) huenda kusimamia unachokiamini na kuwa na msimamo bila kuyumbayumba (flip flopper) kwa mtu binafsi its a prize worth more than kuwa kiongozi (usiyefuata msimamo / unachokiamini)Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.
Those who lose today Will win Tomorrow!
Mwehu kabisa wwNape siku hio alichofanya ni uhaini sema wabongo hawaelewi, yaani unaachishwa uwaziri unafanya press hapa Magufuli alifanya huruma sana.
Wewe panya tu nimeshakuambia kusanya hela za kutawaza mababu wa kizungu ila ukirudi nyumbani bado mchumba tu.Wee boya mfungulie geti shemeji yako anapiga honi.
Nyau wewe!
Alipaki gari vibayaHii ilikua kali kweli cjui ilinipitaje?ama nilikua nje may be....kosa la malima lilikua nini?
Unadhani sikufaham wewee? Wewe ndie mwenye ID ya benson kichogeWewe panya tu nimeshakuambia kusanya hela za kutawaza mababu wa kizungu ila ukirudi nyumbani bado mchumba tu.
Nape siku hio alichofanya ni uhaini sema wabongo hawaelewi, yaani unaachishwa uwaziri unafanya press hapa Magufuli alifanya huruma sana.
Hatutumii ubavu wa cheo tunatumia sheria mkuu, u a veri unsound mindKwani nape ana ubavu wa kumfanya lolote huyo jamaa?