Yuko wapi Medard Kalemani amekuwa kimya sana au ndio anajipanga 2025? Angekuwa bado waziri mradi wa JNHP ungekuwa umekamilika

IST inamfaa kwa ule ufupi, landcruiser labda aweke mito ya kulalia minne kwenye siti, na akiweka mito, accelerator na breki na krachi atazi-miss
 
Nilikutana naye Tabora. Jamaa ni very loyal. Mtu poa sana, mfupi mno.

Alikuwa na Cruiser GXL
 
Sababu zote hizi ili maccm muibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…