Sasa huvai condom halafu ukikutana na "Kitu" unasema eti ni bahati mbaya na kwamba unamtanguliza Mungu what a load of BSYeyote akiugua ni bahati mbaya! Ukweli ni kwamba kwa mazingira yetu, hakuna mwenye uwezo wa kuchukua tahadhari kama inavyotakiwa! Hali na mazingira haviruhusu, ndio maana tunamtanguliza Mungu!
Unatafuta kauteuziWatanzania timekuwa watu wa ajabu sana kuombeana mabaya nachukia sana kwa nini tuombeana mabaya mh raisi nakuombea kwa mungu akupe afya njema uzidi kuwaumbua Hawa wanaokuombea mabaya
Unashauri akatibiwe wapi?Yaani kibopa wa nchi akatibiwe Kenya? Huko ufipa huwa mnalishana nini?
🤣 🤣 🤣 Aisee!Hakuna cha ujiwe sasa wanasema anakoroma mpaka imebidi wawahamishe wagonjwa kwenda ward mbalimbali
Kule ambako watanzania wenzie wanatibiwaNyungu za kisasa zipo Muhimbili na Mloganzila, apelekwe akajikite huko
Nimependa avatar yako madam..Unashauri akatibiwe wapi?
Maana hata akirudi na kujitokeza kuongea watasema sio yeye ni wamefanya clonning🧬💉Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?
Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
Watu walikamatwa na kuswekwa ndani kisa wamevaa nguo iloandikwa pray for Lissu. Shida ilianzia huko, mtu anatekwa na kupotea kama sindano wengine wakijibu kwa kejelie kabisa kuwa kawekwa ndani na hawala yake!Lakin vippi ulihuzunika na kukemea walio/wanaotendewa wapinzani wake. Mlipiga makofi bungeni ili zito kabwe auwawe,lissu alipigwa risasi asilimia 80 ya wanaccm walifurahia na sherehe zilianza kufanywa endapo akifa mfurahie.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
Usimlaumu seremela mgomba hauna mbao.
Sina nafasi ya kushauriUnashauri akatibiwe wapi?
Si mnataka atawale milele, mimi naona sawa tu mkificha-ficha. Afterall yeye ni jiwe "kwerikweri".
Ww na wenzio ni wapumbafu Lisu mlipompiga Risasi hamkutaka hata watu wamuombee jinga nyie....sasa zamu yetu Sisi kufurahiWatanzania timekuwa watu wa ajabu sana kuombeana mabaya nachukia sana kwa nini tuombeana mabaya mh raisi nakuombea kwa mungu akupe afya njema uzidi kuwaumbua Hawa wanaokuombea mabaya
Amesha recover.Oya wazee John Mnyika yuko wapi?
Hili halikubalikiHata wakatiule (2019) walizusha mabaya na kufanya fujo zote mitandaoni. Alipoonekana akawatangazia msamaha kama alivyofanya Mhe. Mpango na Mhe. Sabaya