Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Yeyote akiugua ni bahati mbaya! Ukweli ni kwamba kwa mazingira yetu, hakuna mwenye uwezo wa kuchukua tahadhari kama inavyotakiwa! Hali na mazingira haviruhusu, ndio maana tunamtanguliza Mungu!
Sasa huvai condom halafu ukikutana na "Kitu" unasema eti ni bahati mbaya na kwamba unamtanguliza Mungu what a load of BS
 
Vya tumboni menu bakini navyo majumbani menu

Vya tumboni mwenu visambazeni viwe lami

Ukiona mia 2 nyingi piga mbizi
 
Watanzania timekuwa watu wa ajabu sana kuombeana mabaya nachukia sana kwa nini tuombeana mabaya mh raisi nakuombea kwa mungu akupe afya njema uzidi kuwaumbua Hawa wanaokuombea mabaya
Unatafuta kauteuzi
 
Jamani, mbona umenifanya nicheke kwenye jambo ambalo si la kuchek. Dah! Nimecheka sana
 
Ahsante sana. Hongera jina lako umelitendea haki. Masterpiece!
 
Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?

Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
Maana hata akirudi na kujitokeza kuongea watasema sio yeye ni wamefanya clonning🧬💉
 
Watu walikamatwa na kuswekwa ndani kisa wamevaa nguo iloandikwa pray for Lissu. Shida ilianzia huko, mtu anatekwa na kupotea kama sindano wengine wakijibu kwa kejelie kabisa kuwa kawekwa ndani na hawala yake!
 
Kiuhalisia, Hata ntv nao n kma wachochezi, kwa nn wasiseme anatokea africa mashariki?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…