Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Media za wenzetu hazipelekeshwi kijinga kama hapa. Wanandika what they see right na sio za kuambiwa ambiwa.... sasa ngojeni nyie mtakavyoletewa picha kama la bwana mpango mnaingia wazima wazima. Kuna saa MATAGA jiongezeni kidogo..chaaaa
 
There is something very serious that should not be taken lightly. Especially when we are talking about the health of our President. Our Country should refute this allegation right away.
 
Watuambie alipo na Spika wetu mpendwa Job Ndugai.
Yapata mwezi sasa hajaonekana.
Vipi na yeye upepo wa kisurisuri umempitia nn?

Tulionya toka mwanzo kwamba mwenye 60+ ajiangalie sana huyo COVID-19 anawapenda balaa !!

Tuombeane tu tuvuke salama maana hii sasa ni vita !!
 
Xiaomi, techno, huawei ni mitandao ya makampuni makubwa ya simu. Katika soko la uchina kampuni ya apple inatafuta market share ya kutosha.
.
Wamezuia mahindi

Tunazuia blueband, pipi, kiwi, dawa ya meno. Tutatengeneza za kwetu na hii ni fursa kwa watanzania kuwekeza katika viwanda

Bwawa la umeme la julius nyerere linakaribia kukamilika
Xiaomi, techno, huawei ni mitandao ya makampuni makubwa ya simu. Katika soko la uchina kampuni ya apple inatafuta market share ya kutosha.
.
Wamezuia mahindi

Tunazuia blueband, pipi, kiwi, dawa ya meno. Tutatengeneza za kwetu na hii ni fursa kwa watanzania kuwekeza katika viwanda

Bwawa la umeme la julius nyerere linakaribia kukamilika.

There is something very serious that should not be taken lightly. Especially when we are talking about the health of our President. Our Country should refute this allegation right away.
 
Zito kabwe
Xiaomi, techno, huawei ni mitandao ya makampuni makubwa ya simu. Katika soko la uchina kampuni ya apple inatafuta market share ya kutosha.
.
Wamezuia mahindi

Tunazuia blueband, pipi, kiwi, dawa ya meno. Tutatengeneza za kwetu na hii ni fursa kwa watanzania kuwekeza katika viwanda

Bwawa la umeme la julius nyerere linakaribia kukamilika.

Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?....
 
Barabara za masimango kama vile kajenga kwa hela za mamake, wakati ni kodi zetu. Aende tu kumsalimia Nyerere, barabara tutajenga wenyewe.

Utasubiri sana! Mungu hajibu maombi ya kizembe kama haya. Angekuwa anafanya hivyo hata wewe usingekuwepo leo kwa sababu wapo waliotamani usiwepo kwenye uso wa dunia!
 
Utajibu tetesi ngapi? Msemaji wa Rais sio wakuongelea tetesi hicho ni Muhtasari ndani ya habari,tusubiri Habari ikifika tutachomekewa na hicho kitetesi kitaelezewa ila sio chakukichukulia official kabisa.
 
Anaumwaje mkuu? Kwani lile li convoy jammer na mitutu ile imeshindwa kuzuia mashambulizi?
Mkuu ile mi convoy jammer na mitutu haina uwezo wa kumkinga meko na kirusi kisichoonekana ndo maana vimepenya kiulaini kabisa...
 
Watanzania tusiendeshwe na mitandao tuchape kazi mimi toka wamzushie Mpango mara Sabaya, watu wa mitandao siwaamini. Ila kama anatibiwa Nairobi namuombea apone lakini aje atueleze kwanini alienda kutibiwa huko na yeye anahubir kuwa sekta ya afya ameiboresha hakuna haja ya kwenda nje
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…