Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Ni suala tu la kuendana na maisha ya kidigital, kuwapa habari wananchi kila siku sio mpaka kuapishana au kutumbuana tu.Kwanini bwashee?
Kila panapokuwepo na ulazima wa kuhabarisha umma juu ya jambo lolote kurugenzi ya mawasiliani ikulu imekuwa ikituhabarisha.