Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hamna ukweli unaonipa ndio maana nacheka. Leo unatumia Lugha isiyo na staha haupo kawaida.
Sijawahi kuwa na lugha ya kubembelezea mtoto anywe uji hapa jukwaani. Huenda umechanganya Id.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna ukweli unaonipa ndio maana nacheka. Leo unatumia Lugha isiyo na staha haupo kawaida.
Kwa nini usijinyonge basi au mbona ulipoambiwa na Barozi wa Mashoga wa Afrika ya Kusini uandamane mbona hukuandamana mkuu??!
Eh!Barabara za masimango kama vile kajenga kwa hela za mamake, wakati ni kodi zetu. Aende tu kumsalimia Nyerere, barabara tutajenga wenyewe.
Sikuwa mdogo, Iia sijawahi kujuaAchana na hii ya mwisho .. nazungumzia akiwa anatumikia... Labda ulikua bado mdogo sana...
Basi tezi ya jk
Ahaaaa. Nakaa kimya.Sijawahi kuwa na lugha ya kubembelezea mtoto anywe uji hapa jukwaani. Huenda umechanganya Id.
usisahau kuweka na hela ya sanda.Nimeongeza na boksi za kadhaa za K Vant na a bottle of fine wine kwaajili ya shemeji yenu
Ni swala la muda tu
Rais wetu siyo mzinz acha kumchulia ana mke mmoja tu janethWabongo kwa speculation hamjambo jiwe yuko fit anaendelea na kazi za ujenzi wa taifa rais sio kama kina diamond awe anauza sura kila siku kwenye media nae anahitaji privacy afanye mambo kwa utulivu usikute yuko mahali kuna pisi anaichakata
Utakufa na stress sasa!Jinyonge ww unayemtegemea jizi la kura na mlevi wa madaraka, sijawahi kuandamana hata kwa ibada za kanisani, kwanini niandamane sasa kwa askari waliogizwa kuua? Na kutokuandamana sio kuridhika, maana hata waganda Iddy Amini aliwaua, na hakuna aliyeandamana.
Ule utaratibu wa vice atoke zenji na mkuu awe mtu wa bara utakuaje hapa? nawaza tuHaturudi kwenye uchaguzi, Vice President automatically anakuwa Rais kwa kipindi kilichobaki. Hapo inabaki, nani atakuwa Vice!
Halafu mtu anakuja na mawazo ya kupandisha gharama za mawasliano, eti Serikali ya wanyonge?
Why not Air ambulance equiped with Nyungu
Kutakuwa na njama dhidi ya Raisi wetu mpendwa Mataga mpo.
Utakufa na stress sasa!
Hongera kwa umri wako mzee wangu, lakini kwa uzoefu wangu mdogo wa miaka 30+ inaonesha it has been always like that. Tawala zote za dunia hii hupingwa vikali, anzia Kenya, Uganda, SA, Nigeria, Ghana, US, ni sababu ya milengo tofauti.Ukiona ndani ya jamii uliyomo ukipata matatizo wanasherehekea jiulize mara mbili mbili kuna nini? kwa uzoefu wangu wa miaka hii 70 niliyonayo viongozi wetu wa awamu hii wakipatwa na janga lolote wananchi wanashangilia. Kuna nini?
Piga nyundo kakaNifie wapi wakati napiga spana daily majizi yote ya kura?
Ulikua ufwatilii haya mambo ... Basi ujue sasaSikuwa mdogo, Iia sijawahi kujua
Wampelekee uji sasa.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ubishi wa kipuuzi kuipinga science huwa hauna mwisho mzuri Mkuu, sasa WAMEUMBUKA!
Mkuu Ubavu wa Mbuzi ni bei gani huko kwenu nikurushie na yakutoleaNimeongeza na boksi za kadhaa za K Vant na a bottle of fine wine