Nadhani hapa kuna makosa wawili
1. Kufurahia Rais kuumwa
2. Vyombo husika kukanusha.
Why not Air ambulance equiped with Nyungu apparatus
Sijui wapoje yaaniIle kachumbari ya NIMR na nyungu za Jafo havikuwa siri.
So education is mistaken mission in ur life?Once upon a time, they gave us, education, to destroy our unity, then they introduced democracy to divide us forever, and now, they support social media, to accomplish their mission.
Ahaaaa, nafikiri haupo sawa, umelewa pombe.
Hivi na wewe ukibanwa sawasawa utaweza kueleza rais wetu yu wapi?Hivi ukibanwa kisawasawa utoe ushahidi utaweza kueleza?.
Kwani ulikuwa unagombea jimbo gani?
Sasa uliibiwa kura zipi kama hukuwa mgombea?Sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa zaidi ya kuwa shabiki wa kutupwa wa cdm. Sasa hapo nagombea vipi?
KabisaOnce upon a time, they gave us, education, to destroy our unity, then they introduced democracy to divide us forever, and now, they support social media, to accomplish their mission.
Kenya.Raila ni kiongozi wa Nchi gani Bwashee?
Hamna ukweli unaonipa ndio maana nacheka. Leo unatumia Lugha isiyo na staha haupo kawaida.Sijawahi kunywa pombe maishani, na hapa ni ukweli tu nakupa.
Mbona mingi sana. Afanye bas hata 5+5
Sasa uliibiwa kura zipi kama hukuwa mgombea?
As far as, the spanish educational system may concern, yes, it is.So education is mistaken mission in ur life?