Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Kwa nini usijinyonge basi au mbona ulipoambiwa na Barozi wa Mashoga wa Afrika ya Kusini uandamane mbona hukuandamana mkuu??!

Jinyonge ww unayemtegemea jizi la kura na mlevi wa madaraka, sijawahi kuandamana hata kwa ibada za kanisani, kwanini niandamane sasa kwa askari waliogizwa kuua? Na kutokuandamana sio kuridhika, maana hata waganda Iddy Amini aliwaua, na hakuna aliyeandamana.
 
Wabongo kwa speculation hamjambo jiwe yuko fit anaendelea na kazi za ujenzi wa taifa rais sio kama kina diamond awe anauza sura kila siku kwenye media nae anahitaji privacy afanye mambo kwa utulivu usikute yuko mahali kuna pisi anaichakata
Rais wetu siyo mzinz acha kumchulia ana mke mmoja tu janeth

Kuwa na heshima kwa mungu wetu siyo mm n maneno ya kabudi lakn usinichukie
 
Utakufa na stress sasa!
 
Haturudi kwenye uchaguzi, Vice President automatically anakuwa Rais kwa kipindi kilichobaki. Hapo inabaki, nani atakuwa Vice!
Ule utaratibu wa vice atoke zenji na mkuu awe mtu wa bara utakuaje hapa? nawaza tu
 
Akionekana kila siku mnalalamika. Akiadimika mnalalamika. Sasa mnataka afanye nini jamani? Muache kaka aongoze nchi ajuavyo
 
Ukiona ndani ya jamii uliyomo ukipata matatizo wanasherehekea jiulize mara mbili mbili kuna nini? kwa uzoefu wangu wa miaka hii 70 niliyonayo viongozi wetu wa awamu hii wakipatwa na janga lolote wananchi wanashangilia. Kuna nini?
Hongera kwa umri wako mzee wangu, lakini kwa uzoefu wangu mdogo wa miaka 30+ inaonesha it has been always like that. Tawala zote za dunia hii hupingwa vikali, anzia Kenya, Uganda, SA, Nigeria, Ghana, US, ni sababu ya milengo tofauti.

Ushawahi pita ukaona comments za tweet ya Obama wakati akiwa Rais? Kuna wakati tulitamani ndege ile ya Malaysia iliyopotea ingetoweka na Wabunge wetu wote 260 na kupotea kabisa. Nothing new, it is human nature to seek for power and entitlement.
 
Ugonjwa ni jambo la kawaida,hakuna binadamu ambaye anaweza kuishi bila kuumwa.so ikiwa mh. kweli anaumwa nilitegemea kuwa pamoja na kumuombea uzima.cha ajabu watu wanashangilia!so sad for Tanzanians.hii jf iko worldwide si pati picha tunasomekaje nje ya mipaka ya Tanzania,ndio maana Yule kaburu wa south Africa,a president by then aliwahi sema,

Waafrica hawapaswi kuwa huru na kujitawala,akasema wanapaswa kuongozwa,kwa sababu hawana uwezo wa kujitawala ,lakini pia hawapendani wao kwa wao.

Akasema hata ukiwakabidhi bunduki Leo za kuilinda nchi,wataanza kufyatuliana risasi wao kwa wao.akahoji pale kwenye ile conference ,je watu Kama hawa tunapaswa kuwaamini watuongoze!!??

Makaburu wote wakashangilia,wakiashiria hoja iko sawa.na wanaunga mkono.

Ukweli kwa hali ilivyo hapa tz,unaweza kukubaliana na huyu raisi wa serikali ya makaburu kule s.africa by then.Watanzania tumekosa kuwa na umoja na upendo kabisa,tofauti na wenzetu nchi za magharibi Kama marekani,kipindi alipoumwa Trump,hatukuona chama pinzani Cha akina Obama na wafuasi wao washangilie kuugua kwake,kipindi alipoumwa borrison pia hatukuona ,uponzani au wafuasi wa uponzani wakishangilia kuugua kwake,zaidi walimtakia apone,hata Kama waliongea kwa unafiki ,lakini walificha hisia zao za itikadi za kisiasa.na kumtaki kheri apone.

Wamarekani kwenye tatizo wanakuwa kitu kimoja,Tofauti na ss hapa Tanzania.chuki zimejaa kwenye mioyo ya watu mpaka zimewapa upofu,wanasema chochote kinachokuja mdomoni ,haijalishi kina Jenga utaifa au kinabomoa,haijalishi kina fariji au kinaumiza,hawa ndio watanzania wa leo.hii inatupa picha mbaya Sana kwa majirani zetu,na dunia kwa ujumla.

Watanzania hasa vijana wa sasa,sisi ndio wakuifanya nchi hii itambulike kwa sifa njema,au itambulike kwa sifa mbaya ya chuki.Hakuna malaika atakaye kuja kunifanya Tanzania irudi kwenye heshima yake ya awali,Bali ni sisi vijana wa leo,watt wetu wakija nao wendeleze pale tutakapo ishia.je kwa chuki hizi watt wetu na wakujuu wetu,watakuwa na nn,je waridhi hizi chuki na wao wawaridhishe wajao!!??
Wakati wa shida tuwe kitu kimoja,hata Kama tunakinzana kisiasa na mitazamo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…