Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Kuna jamaa yangu yuko Nairobi amenipigia anasema kweli ila hawajui ni wa South Sudan au ni wa Tanzania nimemwambia afukunyue zaidi
Mwambie akatafute ndege uwanja wa ndege zilizoingia jioni/usiku wa March, 2021.

Ni rahisi zaidi kupata habari kupitia huko. Pale Ubalozini haoni mabadiliko yoyote, tokea tarehe hiyo? Hajaona wageni wasio wa kawaida hapo?
 
Nyie ndo mnalazimisha hofu za covid.anayefanya maajabu Ni mungu,covid hamna lolote
Bora ukae kimya,islaeli anarandaranda sana kwenye anga ya Tanzania na covid ndio kichinjio chake.
 
Once upon a time, they gave us, education, to destroy our unity, then they introduced democracy to divide us forever, and now, they support social media, to accomplish their mission.
Matatizo ya kukariri bila kuelewa unachokariri mkuu:

"...they gave us education..." That was not education.; and unfortunately you have no clue what education is designed to do.
 
Majungu tu hayo, Rais yupo mzima na afya tele anapumnzika. Serikali ya Tanzania haiwezi kuficha maradhi yoyote yale tena ya Rais. Vijana wengi mmekumbwa na ugonjwa sijui wa aina gani. Ati habari za kuokoteza okoteza huku na kule kutoka kwa kilema Tundu Lisu ndio mmezishikia Bango.

Mtakoma tu, hatoki mtu zile za kuchuma na kusaza hakuna tena Governor yupo macho mkijaribu tu mtakiona cha ntema kuni.

Ili kujua huo ni uchuro kwamba yupo Kenya - Hawezi kwenda Kutibiwa Kenya, yupo tayari kufa bila tiba, shujaa wa kweli.
 
Inasemekana ni kwamba kuna kiongozi yupo kenya na anaogeshwa na manesi wa Kikenya pamoja na viburi vyetu vya kijinga.
 
Ndugu zangu watanzania, kama ni kweli Rais yuko Hospitali Nairobi, cha kufanya watanzania ni kumuombea. Yeye ni rais wa nchi yetu, tupende au tusipende. Tumpende au tusimpende.

Kama wewe una habari za tetesi kuwa anaumwa, basi busara ni kumuombea kimyakimya, sasa kama tukianza kuingia kwenye mtego wa wenzetu wanaotumiwa kuanza kumuombea mabaya rais wetu hii sio busara kabisa.
 
Inasemekana ni kwamba kuna kiongozi yupo kenya na anaogeshwa na manesi wa Kikenya pamoja na viburi vyetu vya kijinga.

JPM amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka mitano sasa, lakini bado mpo wengi ambao mmeshindwa kumuelewa na pengine hamtakaa mmuelewe. Yule sio mtu wa kupelekwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu (tena matibabu yenyewe ya COVID-19). At least that will never happen on his watch!
 
Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?

Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
Ni kweli, ila tetesi za mara hii zinaaminika zaidi, hasa kwa sababu zimeenea dunia nzima sasa.
 
Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
Sasa si mseme alipo, clear the air.
 
Ili kujua huo ni uchuro kwamba yupo Kenya - Hawezi kwenda Kutibiwa Kenya, yupo tayari kufa bila tiba, shujaa wa kweli.
Katika yooote unayoandika hapa JF, ningependa sana kuamini haya uliyoandika katika mstari huu mmoja.

Lakini ikibainika kwamba kweli yupo Kenya kupata matibabu, sijui kama utarudi hapa na kuungana nami katika masikitiko, aibu kubwa atakayokuwa amelipatia taifa hili.

Jambo moja lisilokuwa na shaka - kama yupo Kenya itajulikana tu, kwa sababu sioni jinsi gani habari hiyo inaweza kufanywa siri kwa muda mrefu.

Itasikitisha sana kuliko kipimo.
 
Hivi wewe... Umekata kauli kwa mfano.. Bado unaweza ukawa na misimamo ya kipuuzi wapi utibiwe!??

Nimesema mfano..

Umeielewa sentence yangu ya mwisho?

Isitoshe, siamini kwamba hata First Lady (ambaye yeye mwenyewe hajawahi kupelekwa nje kwa matibabu) haelewi huo msimamo thabiti! Mama yake JPM mwenyewe angekuwa Ulaya akipatiwa matibabu miaka mingi!
 
It would be foolish to listen to someone thousands of miles away from Tanzania as a reliable source of information!
What would you call someone who has no one to listen to even when there are irresponsible people surrounding him but with no information to offer?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…