Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Magufuli akifa sijui Kama tutapata rais Kama huyu.jasiri mwenye msimamo
Ila tatizo lake moja tu kuondoa watumish hewa halafu kushindwa kuweka vijana wasomi kwenye hizo nafasi..halafu msomi mzima unayemwamini MUNGU unaenda kwa babu wa loliondo kupata kikombe?????

Sent using Jamii Forums mobile app
Poor and total contradiction!
 
Yupo salama, endapo ni tiba haipo sababu kutoka nje mipaka wataalamu wapo, vifaa tiba vipo,mazingira bora tulivu na salama yapo.Japo hili la taarifa mwenyewe kalikemea karibuni hotuba yake.
 
Kuna tatizo kwani?

Mbona kama majibu kwa TAL ndo yanaleta panic sasa, alipaswa kujibiwa tu kwa kuambiwa yupo hapa anafanya hiki bhac. Au kama vipi Nchemba angepiga kimya tu maana namna yake ya kujibu huwa ni ileile ya kushutumu na mikwara rundo kiasi cha kinachoweza sababisha tuanze kujiuliza maswali
 
Mbona watu wanaangamia kwa corona mpaka Raisi Mwinyi amekiri kuwa hii kitu ipo
 
Sasa Mwigulu amejibiwa majibu ambayo yamefanya tumejua mengi kuhusu yeye huku jibu la Rais yuko wapi likiwa halijapatikana.
Lissu sio wa kukurupuka kumjibu utaaibika
Screenshot_20210311-051045.jpg
 
Stop making our country live up to the label of a banana republic.
Are you kidding!

That must be a "banana republic" of the social media

No one from a place like Bariadi has the slightest concern about his apparent disappearance..., at least from a mere two weeks no see no hear.

So stop making it look like a big deal. It's not.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom