Expert Judgement
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 442
- 730
Hivi mama wa Rais Magufuili alipona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie akatafute ndege uwanja wa ndege zilizoingia jioni/usiku wa March, 2021.Kuna jamaa yangu yuko Nairobi amenipigia anasema kweli ila hawajui ni wa South Sudan au ni wa Tanzania nimemwambia afukunyue zaidi
Bora ukae kimya,islaeli anarandaranda sana kwenye anga ya Tanzania na covid ndio kichinjio chake.Nyie ndo mnalazimisha hofu za covid.anayefanya maajabu Ni mungu,covid hamna lolote
Matatizo ya kukariri bila kuelewa unachokariri mkuu:Once upon a time, they gave us, education, to destroy our unity, then they introduced democracy to divide us forever, and now, they support social media, to accomplish their mission.
Well said!Check out
View attachment 1722432
Inasemekana ni kwamba kuna kiongozi yupo kenya na anaogeshwa na manesi wa Kikenya pamoja na viburi vyetu vya kijinga.
Ni kweli, ila tetesi za mara hii zinaaminika zaidi, hasa kwa sababu zimeenea dunia nzima sasa.Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?
Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
Sasa si mseme alipo, clear the air.Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
Na cardiac attack tenaOmbi kubwa kwa sasa ni kumwombea apone huu ugonjwa maana tumeelezwa yupo Nairobi. Covid 19 with cardiac attack.
BBC world.
Katika yooote unayoandika hapa JF, ningependa sana kuamini haya uliyoandika katika mstari huu mmoja.Ili kujua huo ni uchuro kwamba yupo Kenya - Hawezi kwenda Kutibiwa Kenya, yupo tayari kufa bila tiba, shujaa wa kweli.
Hivi wewe... Umekata kauli kwa mfano.. Bado unaweza ukawa na misimamo ya kipuuzi wapi utibiwe!??
Nimesema mfano..
Basi, kama ni hivyo, hata akipona atakuwa kama 'vegetable' hivi. Hataweza kurudia hali yake sawa sawa, au itamchukua muda mrefu kurudia hali ya kumwezesha kufanya kazi vizuri.Na cardiac attack tena
What would you call someone who has no one to listen to even when there are irresponsible people surrounding him but with no information to offer?It would be foolish to listen to someone thousands of miles away from Tanzania as a reliable source of information!