Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Nyama ya Fuso (Punda) hivi huwa ina madhara kwa mlaji jamani?
 
Reactions: BAK
Wenye kutakiwa kuonyesha political maturity ni walompiga risasi.
Unadhani ingalikua wewe risasi 30 zimekupita ungekua unaandika huu uharo humu?
Wewe naye mediocre kama Tundu Lissu! Malala alipigwa risasi ya kichwa na Taliban aka survive na hakuwa na chuki kama Tundu Lissu!
Papa Yohane Paul 2 alipigwa risasi aka survive na akaenda hadi gerezani kumjulia hali aliyempiga risasi na kumsamehe!
Ije kuwa huyu mediocre wenu Tundu Lissu aliyepigwa risasi za mguu! Vipi kama angepigwa risasi ya kichwa na aka survive kama Malala ! Aaache chuki na ajaribu kukomaa!
 
Alikufa Abraham Lincoln usa ikasonga, kennedy alikwenda usa ikapiga hatua, acheni u mediocre wenu ccm, Tz bado inawatu wengi na wastaarabu wa kuongoza nchi hii
 
Huyo Mwigulu ni mmoja wa wapuuzi sana ndani ya serikali hiyo na pengine ndani ya nchi nzima.

Majibu? Mbona hakuna jibu lolote?

Hata yeye hajui mteuzi wake yupo wapi?
 
Kwahiyo kuandika ako kakingeleza kako ka POINT OF NO RETURN ukajiona na wewe una akili kabisa [emoji23]
Andika hayo maelezo yako kwa kiingereza uone na wewe ukubwa wa ujinga wako! Usinipe majibu but assess yourself inwardly.
Halafu neno sahihi ni Kiingereza na siyo "kiingeleza" ×!
 
Kwa mujibu wa vyanzo vya Lissu ni COVID-19 na cardiac arrest
 
Kwani we umekuwa Mungu? Watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali yao kama kawaida. Sisi tunamuombea Rais wetu apone.
 
Tatizo la Tundu ,na kinachomtoa kwenye sifa ya kuwa Kiongozi Bmbora ni mdomo. Tundu ana mdomo usiokuwa na mipaka wala break. Huyu jamaa kwa nature ana moyo wa debe.

Hajui kutunza wala kukaa na siri. Sasa akipewa nchi, Ikulu haitakuwa na siri, ataropoka yote kwenye media.
Tundu pia ana hulka ya chuki na revenge.
 
Kwani we umekuwa mungu ..watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali Yao Kama kawaida.sisi tunamuombea rais wetu apone
Kwani nani kakwambia rais wetu ni mgonjwa?
Subiri kwanza uambiwe kuwa ni mgonjwa ndio umuombee apone otherwise tulia kimya fuatilia yanayoendelea mitandaoni kama watu wengine.
 
Hivi wewe si ulikuwa mmojawapo wa huyu "hustrler" ENABLER kwenye denial ya COVID -19; kuwa Tanzania haipo? Ukafikia kuwananga Lisu na opposition kuwa COVID ipo haipo? These are your TRUE Colors!
Umejawa na chuki hadi hujui nani alisema nini na alisema wapi!

Wapi nilisema Corona haipo Tanzania?

Onyesha hata sentensi moja tu ya mimi kusema corona haipo Tanzania...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…