Wewe naye mediocre kama Tundu Lissu, punguza hasira!
Rukhsa mkuuHii naiscreenshot
inaonyesha we ndo shoga uliekubuu,wanauliza alipo rais wao ,sio ulipo ww kilazaHuu upuuzi wa mwanaume kuulizia mwanaume mwenzake yuko wapi ni dalili za ushoga
Tundu Lissu hana sifa za kiongozi. Bahati zaidi hata kujifunza hataki.Mwigulu Nchemba Madilu katika ubora wako.
Akili za magamba wengi ndio hizi anatoa povu kulalamaaa badae anasema naunga mkono hoja tumbafMagufuli akifa sijui Kama tutapata rais Kama huyu.jasiri mwenye msimamo
Ila tatizo lake moja tu kuondoa watumish hewa halafu kushindwa kuweka vijana wasomi kwenye hizo nafasi..halafu msomi mzima unayemwamini MUNGU unaenda kwa babu wa loliondo kupata kikombe?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Daadeki!Comatose
Sababu alisema Korona sio ugonjwa na nyungu inatosha sasa inakuwaje aliekuwa anainadi nyungu kukimbilia hospitalKwani kama ikiwa corona, ndo nini sasa?
Si ni ugonjwa tu.
Ye ndo wa kwanza kuipata?
View attachment 1722457
John Magufuli: Questions raised over missing Tanzania leader
John Magufuli has not been seen in public for 11 days amid claims he is ill with coronavirus.www.bbc.com
Mzee Baba kashajitokeza au bado kajificha kama mwali anayesubiri kuchezwa?
Umejawa na chuki hadi hujui nani alisema nini na alisema wapi!
Wapi nilisema Corona haipo Tanzania?
Onyesha hata sentensi moja tu ya mimi kusema corona haipo Tanzania...
Yupo wapi?Watanzania wenzangu, acheni kichezeshwa vichwa, mzee yupo and very fine!
Ni mazito na yanatisha, actually na mimi nimepata hisia hizohizo.Huyu Lissu duh yaani ukiingia 18 zake lazima jasho likutoke.Hayo maneno yake ya mwisho sidhani kama atarudia tena kubwabwaja.
Relating to/or in a state of comma[emoji39][emoji2960]Hili neno sijawahi kutana wala kuonana nalo[emoji2960] ndio nini?