imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hao wahalifu wa (Papa John Paul wa pili na Malala Yusuphzai) walisakwa na kukamatwa lakini waliomshambulia Lissu wanapiga misele tu
Muanzo walisema Dereva wa Lissu ni mtu muhimu, aliporudi nchini Lissu na Dereva wake wakaenda mpaka Polisi na kuwaambia Makachero kuwa wamefika uchunguzi uanze wakapotezea
Muanzo walisema Dereva wa Lissu ni mtu muhimu, aliporudi nchini Lissu na Dereva wake wakaenda mpaka Polisi na kuwaambia Makachero kuwa wamefika uchunguzi uanze wakapotezea