Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Matatizo ya kukariri bila kuelewa unachokariri mkuu:

"...they gave us education..." That was not education.; and unfortunately you have no clue what education is designed to do.
Just learn, how to read between lines, to get what is intended, before jumping into a dubious conclusion. After all, imagination is more imporntant than knowledge.
 
Acha tu, Bungeni inatakiwa wajae watu kama wakina Zitto,Tundu Lissu, Msigwa n.k. Uongozi unahitaji watu wenye vision na akili. Leaders are Readers, asa mtu kama Babu Tale amesoma kitabu gani?
 
Mnaotaka kujua Raisi yuko wapi

Yuko kwenye maombi ya siku 40 ya kwaresma kuombea nchi iondokane na Corona .Kama alivyobeba hilo jukumu kipindi cha Corona awamu ya kwanza sasa kaingia maombi awamu ya pili ya kuishinda Corona round hii ya pili.

Waombaji tuungane naye na katika hizi siku 40 za mfungo wa kwaresma tutaibuka washindi sisi na Mungu wetu .Migani na isiyoamini Mungu itabaki midomo wazi na itajua kuwa Yulo Mungu wa Tanzania aliye tofauti na miungu wa nchi zingine.Wa Tamzania ana nguvu kubwa ya kuipiga mateke Corona nje
 
Mshahara wa Dhambi ni Mauti, Rumi sura 9 kama sikosei.

Auae kwa upanga atakufa kwa upanga, Ufunuo 13

Hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Heri wenye rehema maana hao watapata rehema.
AMEEN
 
Dada nahisi hujalala kabisa leo, usiku wa saa nane na nusu nilikuacha kwenye huu uzi, nimeamka Nimeona post zako za tangu saa kumi na hadi sasa saa moja

Mkuu maisha yamebadilika sana sasa hivi,mtu anakula akiwa na njaa na analala akiwa na usingizi,tofauti ya mchana na usiku kipindi hiki ni nuru na giza tu.
 
Kwenye hili wenye dhamana wamepwaya kiukweli inasikitisha kwa wananchi kumuombea mabaya mtumishi wao namba moja ila wenye dhamana ilitakiwa wasiruhusu kwa kuweka hayana kwamba mh ni mgonjwa ama si mgonjwa kuumwa sio Jambo la siri
Wenye dhamana wanaogopa kufanya ivo. Pengine wanaona labda wakiongea ukweli kuna watu wataonekana ma hero (watu wa Twitter) ambao kwa kiasi kikubwa ndo wanaamiwa kwa sababu ya kuikosoa sana serikali.
 
KILA mwanadamu ujitengezea movie yake mwenyewe.Maisha ni kitabu
 
Lakini maandiko yanasema pia "Ukiambiwa sana maneno ya kukuonya nawe ukashupaza shingo, basi shingo hiyo huvunjika."

Warumi 2​

Neno: Bibilia Takatifu​

2 Kwa hiyo huna udhuru wo wote, hata ukiwa nani, unapowahu kumu wengine. Kwa maana unapowahukumu wengine unajihukumu mwe nyewe, kwa kuwa wewe uliye hakimu unafanya mambo hayo hayo. 2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu huwafikia kwa halali wote wanaotenda mambo haya. 3 Je, wewe uliye binadamu tu, unapowahuku mu watu wanaofanya mambo hayo na huku wewe mwenyewe pia unafanya hayo hayo, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu? 4 Au labda unad harau wingi wa huruma, uvumilivu na subira ya Mungu, ukasahau kwamba wema wake una shabaha ya kukufanya utubu?
 
Tunategemea mhandisi wa building and finance.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…