Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Tatizo ameitangazia dunia kuwa yeye ameishinda Coeona kwa maombi ya siku 3 tu.Kwani kama ikiwa corona, ndo nini sasa?
Si ni ugonjwa tu.
Ye ndo wa kwanza kuipata?
Njia ya muongo ni fupi sana.