Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Madiwani wa Chadema Ikungi walikusanyika kufanya kikao jinsi ya kukusanya michango, ili kuchangia matibabu ya Tundu Lissu, watu wale walikamatwa. Kuvaa fulana za jina la "Tundu Lissu" ikawa kosa la jinai. Leo mnasema watu wasifurahie maumivu ya wengine? You people, are you MAD?

Mathayo 5:43-48 BHN​

“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Mpende jirani yako, na kumchukia adui yako.’ Lakini mimi nawaambieni, wapendeni maadui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu nyinyi, ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu.

Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda nyinyi? Hakuna! Kwa maana, hata watozaushuru hufanya hivyo! Kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya kitu kisicho cha kawaida? Hata watu wasiomjua Mungu nao hufanya vivyo hivyo. Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
 

Mathayo 5:43-48 BHN​

“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Mpende jirani yako, na kumchukia adui yako.’ Lakini mimi nawaambieni, wapendeni maadui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu nyinyi, ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni...
Lakini maandiko yanasema pia "Ukiambiwa sana maneno ya kukuonya nawe ukashupaza shingo, basi shingo hiyo huvunjika."
 
Tatizo ameitangazia dunia kuwa yeye ameishinda Coeona kwa maombi ya siku 3 tu.

Njia ya muongo ni fupi sana.
Asa kwa akili zako unafikiri hata ingekuwa kweli anaumwa, akipona ni sawa na tusingeomba??
 
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?....
Hivi ni jambo la ajabu sana kusikia kuwa Rais "fulani" ni mgonjwa au hata amekufa? Kuna nini basi cha ajabu ikiwa Rais ni Mwanadamu kama walivyo Wanadamu wengine hata itokee "taharuki" pale anapoumwa au kufariki?
 
Madiwani wa Chadema Ikungi walikusanyika kufanya kikao jinsi ya kukusanya michango, ili kuchangia matibabu ya Tundu Lissu, watu wale walikamatwa. Kuvaa fulana za jina la "Tundu Lissu" ikawa kosa la jinai. Leo mnasema watu wasifurahie maumivu ya wengine? You people, are you MAD?
Bora afe tu watu tuanze kuvaa t-shirt za tundu lissu
 
Lakini maandiko yanasema pia "Ukiambiwa sana maneno ya kukuonya nawe ukashupaza shingo, basi shingo hiyo huvunjika."
Mshahara wa Dhambi ni Mauti, Rumi sura 9 kama sikosei.

Auae kwa upanga atakufa kwa upanga, Ufunuo 13

Hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Heri wenye rehema maana hao watapata rehema.
 
Kuna mambo yanafikirisha sana, Hivi hakuna Kitu kinaweza kufanyika kuzima huu uzushu watu wakaendelea na kazi zao?

Nawaza tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe huna shughuli, kama ungekua nazo usingepata muda wa kufuatilia uzushi all the time
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom