Pengine ni vita ya kiuchumi, Watanzania tuwe macho...
Nasema uongo ndugu zangu?
Kwakweli inategemea na nani anayeumwa....kiufupi wengi tunasubiri maamuzi ya malaikaSwala la ugonjwa wa mtu lisiwe jambo la kushadadia jamani, this is sad.
nadhani licha kuwa ni ishara mbaya.. au sio tabia nzuri kundi fulani kumzushia kiongoz wa nchi kifo.Sio lazima. Mwanzo alizushiwa kifo na hakuwahi kutokeza mtu yeyote kukanusha. Kwahiyo wacha wajinga waendelee kutiana ujinga.
Sad is what? Philosophical point of view, bad or good is upon the human mind....hahaha wengine sad but wengine naona ni happy..Swala la ugonjwa wa mtu lisiwe jambo la kushadadia jamani, this is sad.
Lakini si angeenda Chato kumwomba mungu wenu kama alivyozoea, huko Nairobi wana Mungu wao ambaye badala ya kuondoa Covid-19 akampenda zaidi yeye na Waziri wake. Wananchi wanapolia kuwa hospitali zetu hazina madaya, vifaa wala watumishi wakutosha Viongozi wetu ndo wanakuwa wa kwanza kusifia kuwa dunia nzima, pamoja na Wakenya, watu wanakuja kutibiwa kwetu lakini wao wakishikwa na Changamoto ya kupumua tu wanakimbilia Nairobi. Huyu Waziri walijaribu kuficha ugonjwa wake karibu miezi miwili lakini akajitokeza mwenyewe kuwa amepona anarudi kazini kuchapa kazi sasa huko Nairobi amesindikiza mgonjwa au ana pneumonia?Mnaotaka kujua Raisi yuko wapi
Yuko kwenye maombi ya siku 40 ya kwaresma kuombea nchi iondokane na Corona .Kama alivyobeba hilo jukumu kipindi cha Corona awamu ya kwanza sasa kaingia maombi awamu ya pili ya kuishinda Corona round hii ya pili.
Waombaji tuungane naye na katika hizi siku 40 za mfungo wa kwaresma tutaibuka washindi sisi na Mungu wetu .Migani na isiyoamini Mungu itabaki midomo wazi na itajua kuwa Yulo Mungu wa Tanzania aliye tofauti na miungu wa nchi zingine.Wa Tamzania ana nguvu kubwa ya kuipiga mateke Corona nje
Good pointKwani wakati wa utawala wa wenzake maisha yalikuwa rahisi? Mbona kwa mfano mimi kwa sasa nipo nafuu kiuchumi kuliko utawala wowote wa nchi yetu ila jamaa hapana! Kwangu mtu asiyejali utu wa mwingine simkubali hata akitununulia Noah sisi wote.
Utu kwanza, vitu baadaye. Haiwezekani unaamuru watu wampige risasi binadamu mwenzako kisa siasa. Haiwezekani watu wanaokotwa kwenye viroba wewe unachekelea tu. Waandishi wa habari za uchunguzi wanatekwa na kupotezwa mchana kweupe wewe meno nje tu.
Haiwezekani! Kazi kuwapandikiza vibaraka eti wadai uongezewe muda wa kutawala ili ufanye nini cha ziada? Unawakemea hadi viongozi wa dini wanaohamasisha watu kuchukua tahadhari ya magonjwa ya kushindwa kupumua, unawazodoa watumishi waliochukua tahadhari ya afya zao na za wengine kwa kuvaa barakoa. Wewe nani?
Nairobi ni karibu na Chato,si kwa ajili ya ubora wa tiba zao.Lakini si angeenda Chato kumwomba mungu wenu kama alivyozoea, huko Nairobi wana Mungu wao ambaye badala kuondoa Covid-19 akampenda zaidi yeye na Waziri wake. Wananchi wanapolia kuwa hospitali zetu hazina madaya, vifaa wala watumishi wakutosha Viongozi wetu ndo wanakuwa wa kwanza kusifia kuwa dunia nzima, pamoja na Wakenya, watu wanakuja kutibiwa kwetu lakini wao wakishikwa na Changamoto ya kupumua tu wanakimbilia Nairobi.
Naomba iwe hivyo kwani kuondoka kwake muda huu itakuwa ni huzuni kubwa kwetu na ushindi wa mabeberu na hasa kuhusiana na mambo ya corona.Watakuja kutuuzia madawa na kutuchanja kwa lazima.Rest assured. Kuna watu wanakwenda kuaibika soon.
H
Wenye Mamlaka wanapofanya Hukumu basi wayatende kwa HAKI. Wasipofanya hivyo basi nao Hukumu ya Mungu itakuwa juu yao. Ndiyo maana maandiko yanasema Hakimu wa kweli ni Mungu pekee. Tenda Haki unapokuwa umekikalia Kiti cha Maamuzi.Warumi 2
Neno: Bibilia Takatifu
2 Kwa hiyo huna udhuru wo wote, hata ukiwa nani, unapowahu kumu wengine. Kwa maana unapowahukumu wengine unajihukumu mwe nyewe, kwa kuwa wewe uliye hakimu unafanya mambo hayo hayo. 2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu huwafikia kwa halali wote wanaotenda mambo haya. 3 Je, wewe uliye binadamu tu, unapowahuku mu watu wanaofanya mambo hayo na huku wewe mwenyewe pia unafanya hayo hayo, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu? 4 Au labda unad harau wingi wa huruma, uvumilivu na subira ya Mungu, ukasahau kwamba wema wake una shabaha ya kukufanya utubu?
Zikanushe basi mkuuHabari hizi zikanushwe; zinatusumbua sana Covid-denying Tanzanian President Magufuli reported to have flown to Kenya for coronavirus treatment
[emoji23]wewe.shangwe lake sio mchezo,lazima nikope vicoba nimpongeze malaika
Rais hana njaa mzeeAdui yako muombee njaa siyo kifo maana akisha kufa harudi tena!
Kwa iyo nchi hadi kuvamiwa na nzige unasikia raha ? ndio.maana chadema tuliwapiga chini mko zero kwenye uzalendo.Hata nzige tu kuvamia madhba ya watu.mnachekeleaNzige nao wanaendelea kuchanja mbuga wengine wanaenda kuwa kitoweo cha Wagogo huko kanda ya Kati na kundi jingine linaelekea mkoa wa Tanga
Asingepata muda wa kuja kubweka humu kila siku " Maisha magumu"Baba ake ni Rais