Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Khe khe khe khekhe kheee!! Alianza Zitto Kabwe kumzushia ameenda Germany kutibiwa mara Waziri wa pesa amefariki, wamerudi kwake tena. Kweli JPM anawanyoosha kweli kweli.

BTW huko nje wasifikiri wapo salama sana, muda utaongea. Rais yupo busy na shughuli za Watanzania sio wasaliti wa nchi yetu.
 
Kidogo mada hii inashangaza, hasa kuletwa na aliyeileta hapa.

Vipi, siku hizi vile "vi-inzi ukutani" havipo?

Kwa mapenzi aliyonayo mleta mada kama alivyojipambanua, isingekuwa rahisi kwake kuja hapa na kuungana na jamaa hapa na kuanza kuuliza maswali.

Na kwa wale wasema uongo usiokuwa na ufundi wowote; utategemeaje Nairobi ndiko kuwe pa yeye kupelekwa. Si Tundu Lissu alikuwa huko miaka si mingi iliyopita?

Hata kama sio mtu anayejiheshimu, hawezi kamwe naye aende kutibiwa huko. Heri hata Afrika Kusini, au hata China.
 
Ndugu Mwanakijiji, tatizo lako unajitoa ufahamu kiasi kwamba unajifanya huelewi kwanini "kuna wanaoombea Magufuli awe mgonjwa" huku wengine wakitamani aondoke kabisa. Unafahamu fika kuwa moja ya mafanikio makubwa ya utawala wa Magufuli ni kujenga chuki ambayo haijawahi kuonekana katika historia ya Tanzania. Sasa kama ambavyo huwezi kupanda goroli shambani ukategemea kuvuna njegere, ndivyo ambavyo ukipanda chuki unavuna chuki.

Mlikuwa na fursa ya kumshauri abadili mwenendo, aache siasa za chuki na badala yake afanye jitihada kurejesha umoja na mshikamano wetu. Lakini mkawa mpo bize kumuimbia ngonjera na mapambio hata pale alipomwaga sumu kwenye umoja wetu.

Na alipoweka kando PhD yake ya Kemia na kugeuka mtu wa tunguri kuhusiana na Korona, hata ninyi mnaoishi Marekani iliyoathiriwa vibaya na Janga la Korona, mkakaa kimya, na occasionally mkawadhihaki wale waliosisitiza kuwa korona ipo na inaua.

Nisiume maneno. Mikono ya Magufuli imejaa damu lukuki. From za waliouawa MKIRU to akina Injinia Lwajabe to unknown number of our fathers and mothers, brothers and sisters waliokufa, wanaokufa na watakaokufa kwa korona kutokana na Rais Magufuli kuuhadaa umma kuwa ugonjwa huo ni "wa kawaida kama malaria."

Ndio anaumwa lakini usijitoe ufahamu kutarajia kuwa serikali hii inayondeshwa kimagumashi itawaambia ukweli Watanzania kuwa Magufuli anaumwa. Iseme ukweli ichekwe? Kwamba lile jabali lililoishinda korona limeishiwa kuangushwa chali na korona hiyo hiyo? No way!

Lemme remind you this [emoji117] working with the devil is a choice... one you should always avoid. You guys are going to learn this the hard way!
 
Nyati anazo sehemu za siri???---

katika wanyama ni binadamu tu ndiye anazo sehemu hizo.
Kwa binadamu Zinaitwa hivyo kwasababu zimefichikana ndani ya nguo.
Hata za nyati zimefichwa kwenye ngozi.

Daah! nilikua sitaki kabisa kuchangia uzi huu ila nimejikuta tu.

Maana unaambiwa kama huna uhakika ni
No comment
No like
No share
 
Sasa South Africa au China huoni kama ni mbali sana? Wengine kupanda ndege mwendo mrefu mpaka tushauriwe na madaktari
 
Sasa kazi ya kurugenzi ya mawasiliano si itakua kujibu tu uzushi. Kiukweli hamna taharuki ila watu kama wewe ndo mnazizua kijanja
 
Hatuwezi kuendeshwa na waliokimbia Tanzania.
 
Ameshaanza kudai katiba mpya na tume huru baba askofu, na kwa kiherehere chenu akawekwa ndani au wajifanya umesahau siyo??
Naoana watu wanakazania tume huru idaiwe sijui inadaiwaje sasa maandamano au njia gani ,mnataka watu wawe waasi?halafu kudai katiba mpya ni kazi ya wana siasa tu tu au kwa ajili ya kushinda uchaguzi siyo kwamba isaidie kuboresha maisha ya kila siku?
 
Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?

Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.

Sawa kabisa. Kwanza hao wazushi wenyewe nao ni watu wasiojulikana. Itakuwa kama kujibizana na vivuli.
 
Believe Nothing You Hear, and Only One Half That You See...
 
Kuna jamaa angu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Labda kiongozi wa South Sudan,Rwanda, Burundi si tz hawezi kuwa salama kutoka tunavyopalulana nao wateja bandarini.team usalama hauwezu kwa akili ya kawaida

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nairobi kuna nini tena Jamani, si tulikubaliana tunapiga nyungu

ahahaha Muhimbili pale kuna nyungu za 6000 tanzanian shs, sasa maprivate jet ya nini tena mpaka Nairobi ? Mungu huyu anajua sana kuumbua, Unakumbuka Nkurunzinza alivyoikejeli corona, nipo nafanya mazoez ya kucheza cheche ya zuchu kidimbwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji15][emoji15]
FB_IMG_1615328830179.jpg
 
Sio mara ya kwanza kuzushiwa alianza Zito Kabwe, sasa huyu pimbi yuko Ulaya anafikiri maneno yanavunja mfupa. Kila binadamu atakufa tu, hata uwe nani lakini kutokana na mazingira yaliyopo Kenyans wangekuwa wa-kwanza kujipongeza kwa mabeberu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom