Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hizi bangi sasa. [emoji817]simba inapaswa wajisahihishe makosa yao kutokana na mechi ya Jana na Prison.
tunategemea watakuwa wamejifunza mapungufu yao ili mechi ya marudiano na Almerekh ya Sudani tujihakikishie ushindi.
Ushindi ni lazima, lkn hatuwezi kupata ushindi bila maandalizi, mbinu na mikakati.
Mwenye haki ataishi miaka mingi, utaishi hiyo miaka 100 mkuu na mm ninakuombea.nina uhakika na kesho yangu.naishi miaka 100+ kwa Jina la YESU KRISTO.magufuli hatoboi afe tu kwani yeye ameua wangapi afe tu
Nimeiona mkuu.Nakazia!
Nimeshakupa LIKE mkuu, umeiona?
Unadhirisha wewe ni kikaragosi tu cha Jiwe huna lolote....!!!Majungu tu hayo, Rais yupo mzima na afya tele anapumnzika. Serikali ya Tanzania haiwezi kuficha maradhi yoyote yale tena ya Rais. Vijana wengi mmekumbwa na ugonjwa sijui wa aina gani. Ati habari za kuokoteza okoteza huku na kule kutoka kwa kilema Tundu Lisu ndio mmezishikia Bango.
Mtakoma tu, hatoki mtu zile za kuchuma na kusaza hakuna tena Governor yupo macho mkijaribu tu mtakiona cha ntema kuni.
Ili kujua huo ni uchuro kwamba yupo Kenya - Hawezi kwenda Kutibiwa Kenya, yupo tayari kufa bila tiba, shujaa wa kweli.
lazima tujue asili ya binaadamu si kupendwa na wote.nadhani licha kuwa ni ishara mbaya.. au sio tabia nzuri kundi fulani kumzushia kiongoz wa nchi kifo.
kuna haja ya viongozi hawa kuhitafakari, why hate against them imeongezeka?
haswa kipindi hiki?
Watu mna utani nyieMnaotaka kujua Raisi yuko wapi
Yuko kwenye maombi ya siku 40 ya kwaresma kuombea nchi iondokane na Corona .Kama alivyobeba hilo jukumu kipindi cha Corona awamu ya kwanza sasa kaingia maombi awamu ya pili ya kuishinda Corona round hii ya pili.
Waombaji tuungane naye na katika hizi siku 40 za mfungo wa kwaresma tutaibuka washindi sisi na Mungu wetu .Migani na isiyoamini Mungu itabaki midomo wazi na itajua kuwa Yulo Mungu wa Tanzania aliye tofauti na miungu wa nchi zingine.Wa Tamzania ana nguvu kubwa ya kuipiga mateke Corona nje
Halafu wapambe wake kila wakisimama ni kusifu kajenga hosipitali kila mahali, huku yeye ana kimbilia kwa jirani kutibiwa. [emoji72][emoji72]Sababu alisema Korona sio ugonjwa na nyungu inatosha sasa inakuwaje aliekuwa anainadi nyungu kukimbilia hospital
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Usipate wasi dadaUbinadamu kazi ,nimesoma comments huku nimechoka kabisa.
Wewe kwa mfano:JPM aliwahi kukwaza nini katika maisha yako - labda tuanzie hapo.Si kila mtu unamfanyia UTU
Alichonifanyia akiwa ujenzi sitosahau.Wewe kwa mfano:JPM aliwahi kukwaza nini katika maisha yako - labda tuanzie hapo.
Poor mindKuweni na amani yupo salama, Why Nairobi,India kimekosekana kipi Bongo? Wasaidizi watoe taarifa teuzi,sijui kwanini Bashiru asitoe ratiba mkuu,teuzi na kuapisha.
SawaRais ni Superman. Akiumwa chochote anaponyeshwa literally on the spot in milliseconds. He is just taking some time off kama JK alivyokuwa akichukua breaks kwenye 5-star resorts.
Brilliant!!!!Wenye Mamlaka wanapofanya Hukumu basi wayatende kwa HAKI. Wasipofanya hivyo basi nao Hukumu ya Mungu itakuwa juu yao. Ndiyo maana maandiko yanasema Hakimu wa kweli ni Mungu pekee. Tenda Haki unapokuwa umekikalia Kiti cha Maamuzi.
Duh! Afadhali.Usipate wasi dada
Yupo vizuri!
Ata wa suprise