Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
simba inapaswa wajisahihishe makosa yao kutokana na mechi ya Jana na Prison.
tunategemea watakuwa wamejifunza mapungufu yao ili mechi ya marudiano na Almerekh ya Sudani tujihakikishie ushindi.
Ushindi ni lazima, lkn hatuwezi kupata ushindi bila maandalizi, mbinu na mikakati.
Hizi bangi sasa. [emoji817]
 
nina uhakika na kesho yangu.naishi miaka 100+ kwa Jina la YESU KRISTO.magufuli hatoboi afe tu kwani yeye ameua wangapi afe tu
Mwenye haki ataishi miaka mingi, utaishi hiyo miaka 100 mkuu na mm ninakuombea.

Huyu mdhalimu wanayemshabikia atateketea kama yateketeavyo makapi.
 
JamiiForums1161391069.jpg
 
Mimi nafikiri huenda hatutakiw kufahamu hii habari, kwanza tuifahamu kwanini.
Suala la maombi sio hadi ujue mtu anaendeleaje mtu anaye ombewa sio anaye umwa tu.

Hapa kikubwa ni kumuombea mema siku zote kama kweli tunaupendo naye na afya njema basi, kwani mnafikiri toka awe Rais miaka yote hiyo hajawahi kuugua na kwanini hatuambiwi wala hatujawahi kuhoji au tunajifanya hatujui kama ni mwanadamu na yeye anaugua.

Kwa mfano kweli tumeambiwa anaumwa and then what?, tukiambiwa haumwi pia then what? Suala la kuumwa ni suala personal kuna watu tunailazimisha kuiweka kwenye siasa.

mimi naona tumuombee tu hata pasipo kujua chochote mungu ambariki kiongozi wetu awe mwenye afya tere no matter what AMEN 🙏🏾.
 
Majungu tu hayo, Rais yupo mzima na afya tele anapumnzika. Serikali ya Tanzania haiwezi kuficha maradhi yoyote yale tena ya Rais. Vijana wengi mmekumbwa na ugonjwa sijui wa aina gani. Ati habari za kuokoteza okoteza huku na kule kutoka kwa kilema Tundu Lisu ndio mmezishikia Bango.

Mtakoma tu, hatoki mtu zile za kuchuma na kusaza hakuna tena Governor yupo macho mkijaribu tu mtakiona cha ntema kuni.

Ili kujua huo ni uchuro kwamba yupo Kenya - Hawezi kwenda Kutibiwa Kenya, yupo tayari kufa bila tiba, shujaa wa kweli.
Unadhirisha wewe ni kikaragosi tu cha Jiwe huna lolote....!!!
Bila ya shaka ni walewale mnaopiga kampeni za chinichini ili Jiwe aongezewe muda wa Urahisi from 5 to 7 years....!!!
Huo ujinga pelekeni Chato kama mwataka aendelee mtampa huo Ubunge, u-DC ,u-RC hata ubalozi wa kaya....!!!ISi mwampenda?
Mimi nasema hivi, kama habari hizi ni za kweli au za uongo yuko wapi MSEMAJI WA SERIKALI ILI AKANUSHE AU KUKUBALI HABARI HII YA UGONJWA WA RAIS ILI KUONDOA RUMOURS???
 
nadhani licha kuwa ni ishara mbaya.. au sio tabia nzuri kundi fulani kumzushia kiongoz wa nchi kifo.
kuna haja ya viongozi hawa kuhitafakari, why hate against them imeongezeka?
haswa kipindi hiki?
lazima tujue asili ya binaadamu si kupendwa na wote.

achia mbali umekuwa kiongozi ndio kabisaa.
unaweza tafuta kiongozi yeyote duniani ambaye unahisi alijitahidi kwa nguvu sana kuwa mwema,halafu kupitia yeye kajifunze tabia za binaadam.
 
Mnaotaka kujua Raisi yuko wapi

Yuko kwenye maombi ya siku 40 ya kwaresma kuombea nchi iondokane na Corona .Kama alivyobeba hilo jukumu kipindi cha Corona awamu ya kwanza sasa kaingia maombi awamu ya pili ya kuishinda Corona round hii ya pili.

Waombaji tuungane naye na katika hizi siku 40 za mfungo wa kwaresma tutaibuka washindi sisi na Mungu wetu .Migani na isiyoamini Mungu itabaki midomo wazi na itajua kuwa Yulo Mungu wa Tanzania aliye tofauti na miungu wa nchi zingine.Wa Tamzania ana nguvu kubwa ya kuipiga mateke Corona nje
Watu mna utani nyie
 
Wenye Mamlaka wanapofanya Hukumu basi wayatende kwa HAKI. Wasipofanya hivyo basi nao Hukumu ya Mungu itakuwa juu yao. Ndiyo maana maandiko yanasema Hakimu wa kweli ni Mungu pekee. Tenda Haki unapokuwa umekikalia Kiti cha Maamuzi.
Brilliant!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom