Alipumzika zaidi ya mwezi mzima kwao chato mkamwaga maneno Watanzania bhana sijui Ni kwasababu ya kukosa kazi ama kweli ukikosa kazi ya halali shetani atakupatia kazi
Atapuuzwa tuu kama alivyopuuzwa kwa kusema ndie aliyempiga risasi huku akiwa hana mchango wowote kutoa ushahidi kwenye vyombo stahikiSasa itakuwaje kwa Lissu ikiwa mheshimiwa ni mzima na yeye kesharipoti na kunakiliwa na vyombo vikuu vya habari kuwa yutaabani Nairobi kwa covid.
Itakuwa kuna mchezo amechezewa nao ni kupewa jukwaa bandia kusemea ili halafu ashushwe chini kabla ya wakati.Huu mchezo upo muda mrefu wanasiasa wa upinzani lazima waujue.
Global publisher ni bora kuliko hao BBCMbona ipo hiyo habari hadi sasa
[emoji1787]Kwahiyo umejiunga leo ili uje ukomenti huu utumbo!??
Sisi kama watanzania tunapaswa kuwa pamoja na kiongozi wetu.Mimi nadhani ifike mahali u bin Adam ushike nafasi yake.
Sisi ambao tumekulia na kulelewa katika dini tumeambiwa Jambo lolote ambalo usingependa likupate Basi usimtakie mwenzako yoyote limpate.
Kama ni kukosewa Basi amekosewa Mwenzezi Mungu kiasi ambacho hakuna kipimo kinachoweza kupima makosa hayo, lakini badala ya adhabu kutoka kwake Mungu imekua rehema.
Nae Mungu amesema Kama Mimi nilivyowasamehe nyinyi nanyi msameheane.
Akasema tena mpende na kumtakia mema yule anae waumizeni, yaani mtendee kinyume cheke yule anae kutendea baya.
Muombee asie kupenda, mpende anaekuchukia mtendee jema naekuudhi.
Hapo ndipo mtakapoonekana tofauti Kati ya wema na wabaya nae Mungu atakua upande wenu.
Badala yake Sasa sisi tumekua tukimtakia lililo baya kiongozi wetu katika nchi kisa yeye nae ametutendea mabaya, hii itapelekea wote kuhesabika Ni wabaya kwa namna hii.
Mungu ndie yupo juu ya wote na yote na vyote, hivyo Basi yeye atujuaye toka zamani atatutunzia yalio mema hata Kama tutapitishwa katika mabaya kiasi gani.
Haya yooooote yanayosemekana, yanayo hisiwa, yanayo takiwa kwa kiongozi wetu naomba yawe kinyume cheke AMINA.
Lissu alivyopigwa risasi wapinzani walitaka kumfanyia maombi walipigwa mabomu ya machozi ...an aye for an ayekama ni mgonjwa inapaswa kumuombea sana na si vizuri kufurahia mwenzako akiumwa mungu huyarudisha kwako na familia yako ili uone machungu
😀 😀 😀 😀 Leo ndio unajua hayo,wakati wananyima Lisu ilikuwa ni sherehe sio matataizo? hapo hapo ndio patamukama ni mgonjwa inapaswa kumuombea sana na si vizuri kufurahia mwenzako akiumwa mungu huyarudisha kwako na familia yako ili uone machungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo umejiunga leo ili uje ukomenti huu utumbo!??
Uliza wale wa Hitler walikua kujulikanaje...!!?Msichokijua ni kwamba ,kama hizo habari za kuwepo kwa watu wasiojulikana ni mpango wa CCM,basi hata akiondoka huyu bado hamtaweza kuwagusa kwakua hawakua chini ya mtu mmoja bali ni system ambayo hata yule atakaechukua nafasi yake atazidi kuilinda.
Ikulu ipi, ya Dodoma, Dar au Chato...!!?Ulienda ikulu ukamkosa?
Kama ni mtumishi wa umma,miaka saba hajapanda daraja wala increament ya kila mwaka. Ameishia kuwaongezea posho maaskari wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama tu.Wewe kwa mfano:JPM aliwahi kukwaza nini katika maisha yako - labda tuanzie hapo.
Correct,ni sawa kutotangaza.Usually tuna-weigh faida na hasara katika kufanya jambo lolote.Kwa mtizamo wangu taharuki itakuwa kubwa zaidi kama ikisemwa kwa mfano anaumwa sana.Ngoja watu wabakie kwenye two worlds,it's better.Sio lazima. Mwanzo alizushiwa kifo na hakuwahi kutokeza mtu yeyote kukanusha. Kwahiyo wacha wajinga waendelee kutiana ujinga.
Sasa ni wapi hapo niliposema kwamba haipo Tanzania kama ulivyodai?[/HEADING]
[HEADING=3]Nyani NgabuPlatinum Member
May 15, 200687,8522,000
C-19 imepaishwa sana. Si kali wala hatari kama tulivyoaminishwa.
Ingalikuwa kweli ni kali na hatari, basi ingejulikana tu.
Watu walio wagonjwa hawawezi kufichika.
Shule zimefunguliwa toka mwezi gani vile?
Kampeni za uchaguzi zilianza mwezi gani vile?
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
Thanks Quote Reply
Report
Kwani vipi?Mitano tenaKuna watu sijui walisomea ujinga wa standard gauge huko shuleni, HIVI HUU UZUSHI UNASAIDIA NINI, AJABU NI KWAMBA BADO KUNA WATU WANAFURAHIA RAIS APATWE NA MABAYA. SHAME INDEED