Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Kama hii ni kweli, Watanzania wote tuna wajibu wa kumuombea kwa Mola aweze kupona kwa haraka na kuendelea na shughuli zake kama zamani - Taifa letu bado linamuhitaji sana binadamu huyu ambaye ame idhilishia Dunia katika uwezo wake kikazi, uwajibikaji na uongozi uliyo tukuka.

Tukumbuke kwamba mpaka sasa viongozi wengi mashuhuri wamekwisha patwa na ugonjwa huu wakashughulikiwa na madktari mabingwa wakapona,mfano: Rais Donald Trump na mkewe, Rais wa Ufaransa,Angela Merkel wa Ujerumani, Waziri mkuu wa Uingereza, Prince Charles nk, wote hao walipewa dawa wakapona bila ya kutumia chanjo.

Siku za hivi karibuni kuna dawa ambayo inaonyesha kutia matumaini mapya ya kupambana na virus vya COVID-19 kikamilifu- dawa hiyo sio ngeni uligunduliwa na mwana sayansi wa Kijapan kwenye miaka 1970s - inatibu wanyama na wanadamu kwa ufanisi wa hali vyao juu - wana sayansi wameinjaribu kwa wagonjwa wa Kovid ja wapo ikiwa ni Vidonge vya kutibu matenda ivermectin - dawa hii inapigwa vita sana na makampuni yanayo kuzalisha chanjo, hawaitaki kwa kuwa ni cheap kuliko chanjo-huko Merikanki kwa mfano kuna majibo yamekwenda mpaka mahakamani kulazimisha Uongozi wa majimbo hayo kuruhusu vidonge vya matende kutibu jamaa zao walio kumbwa na Covid-19,kuna mama fulani mwenye umri wa miaka 86 alishawekwa mpaka kwenye ventillator, cha ajabu baada ya bibi huyo kupewa vidonge vya invermectin, hali yake iliendelea vizuri na akapona kabisa - mataifa mengi ya Latin Amerika na Ulaya yanatumia dawa hii kuponyesha raia wake na hii "wonder drug" na sisi Tanzania tuanzishe zoezi hili muhimu kwa wale wanao umwa. Kama kweli Kiongozi wetu wa Taifa anaumwa binafsi naona ingekuwa vema kama wangeletwa wataalamu wa Kichina wenye uzoefu kumtibu au Taifa limpeleke huko huko Uchina kwa uangalizi wa karibu zaidi, kuliko Kenya.Hayo ni maoni yangu.
Ye ni muumini wa hii mambo ya kutambika
Tumuombee wapi sasa?
 
Kaliziria kanisa maana wanatoa matamko kila siku. Kaona asali directly kwa Mungu wake . Yuko salama kabisa ... Hii ni Kwaresma time muda wa tafakari...
Nawaomba myatafakari haya na ikiwapendeza, fanyeni maamuzi sahihi before it is too late.

1. Inafika Ijumaa Kuu haonekani kanisani

2. Inafika Jumapili ya Pasaka pia haonekani kanisani

3. Kipindi chote cha sikukuu ya Pasaka haaenda kijijini Kwake kwa mapumziko kama afanyavyo miaka mingine.

4. Sijui mlijuaje mkaahirisha mapema sherehe za Muungano(nilisikia/nilisoma mwaka huu mmezifuta)

4. Inafika siku ya May Mosi pia haonekani au anatuma salama tu.

5. Bahati mbaya mambo yanaharibika (hatuombei), mtaanzaje kusema?

Mkisema, hamtasutwa?

Je, hayo yakitokea, mtakuwa mnaficha nini?

Hakuna anachopitia ambacho wanadamu wengine, wakiwemo wenye au waliowahi kuwa na wadhifa kama wake, hawakuhi kupitia na hata sisi wengine tunaweza kupitia wakati wowote. Hivyo, tumieni akili, uzoefu na busara kufanya kilicho sahihi sasa kabla hamjachelewa.

Anzeni sasa tena kwa kutoa updates kadri inavyowezeka na hakika mtaheshimika na kama kweli ni mzima,pia semeni.


Ni ushauriKani
 
Taifa hili kuzushiwa kifo Ni kawaida sna hakika watawala wajiangalie mnk hili limekuwa tofauti mkapa Benjamin nae pia aliwahi kuzushiwa kifo mwka 2015 Kama sikozei kumbe alikuwa yu hai nae
 
Wanahangaika kuweka video za zamani ..Ionekane leo alifanya kazi...Lakini kila wakiweka wanakosea ..Mara moja badi mahiga anaonekana ...Nyiingine ilikuwa kama kweli mwisho wakasahau wakaacha hotuba ya ndugulile kama naibu waziri wa afya ......Naamini kabisa ingekuwa inawezekana kumtoa hadharani wangeishamtoa.

Pengine waweke ile video yake alipokuwa analitukana kanisa pale st peter jumapili ya mwisho wa mwezi .....Na kuwadhalilisha masister na mapadre waliokuwa na barakoa kuwa hawana imani baada ya pale hali ndio ikaja hii.
 
..Nadhani Gerson Msigwa anapwaya.

..Yule dogo ni MC zaidi, siyo mwandishi wa habari anayeweza ku-manage masuala ya Ikulu na Raisi.
I can see,

Walitakiwa waliweke clear mapema maana limeshavuka mipaka ya nchi.
 
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?

Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.

Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.

Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Hawa watu wenu ni buree sana...
 
I can see,

Walitakiwa waliweke clear mapema maana limeshavuka mipaka ya nchi.

..kama bwana mkubwa ni mgonjwa, na hawezi kutimiza majukumu yake, they have to tell the nation.

..tena Ikulu wakiwa wametangulia kutoa taarifa kunakuwa hakuna uwezekano wa watakaofuata kuzusha uongo.

..na kama bwana mkubwa sio mgonjwa walitakiwa wakanushe haraka kwa ushahidi usioweza kutiliwa mashaka.

..but Gerson Msigwa has done none of that. Na ndio maana nasema huyu bwana mdogo ni mwepesi. Nafasi yake inahitaji mwandishi mbobezi anayejua dhima ya kuwa muandishi wa habari wa Raisi na Ikulu.

cc Nyani Ngabu, Nguruvi3, Richard
 
Wanahangaika kuweka video za zamani ..Ionekane leo alifanya kazi...Lakini kila wakiweka wanakosea ..Mara moja badi mahiga anaonekana ...Nyiingine ilikuwa kama kweli mwisho wakasahau wakaacha hotuba ya ndugulile kama naibu waziri wa afya ......Naamini kabisa ingekuwa inawezekana kumtoa hadharani wangeishamtoa.

Pengine waweke ile video yake alipokuwa analitukana kanisa pale st peter jumapili ya mwisho wa mwezi .....Na kuwadhalilisha masister na mapadre waliokuwa na barakoa kuwa hawana imani baada ya pale hali ndio ikaja hii.
Waweke zile walizokuwa wanamuita kuwa ni mheshimiwa mungu
 
..kama bwana mkubwa ni mgonjwa, na hawezi kutimiza majukumu yake, they have to tell the nation.

..tena Ikulu wakiwa wametangulia kutoa taarifa kunakuwa hakuna uwezekano wa watakaofuata kuzusha uongo.

..na kama bwana mkubwa sio mgonjwa walitakiwa wakanushe haraka kwa ushahidi usioweza kutiliwa mashaka.

..but Gerson Msigwa has done none of that. Na ndio maana nasema huyu bwana mdogo ni mwepesi. Nafasi yake inahitaji mwandishi mbobezi anayejua dhima ya kuwa muandishi wa habari wa Raisi na Ikulu.

cc Nyani Ngabu, Nguruvi3, Richard
Pengine unaweza mlaumu Msigwa kumbe yeye kapewa maelekezo ya kukaa kimya...
Awamu hii viongozi wengi hufanya nje ya utashi wao, hufanya kile wanachoambiwa kufanya
 
..kama bwana mkubwa ni mgonjwa, na hawezi kutimiza majukumu yake, they have to tell the nation.

..tena Ikulu wakiwa wametangulia kutoa taarifa kunakuwa hakuna uwezekano wa watakaofuata kuzusha uongo.

..na kama bwana mkubwa sio mgonjwa walitakiwa wakanushe haraka kwa ushahidi usioweza kutiliwa mashaka.

..but Gerson Msigwa has done none of that. Na ndio maana nasema huyu bwana mdogo ni mwepesi. Nafasi yake inahitaji mwandishi mbobezi anayejua dhima ya kuwa muandishi wa habari wa Raisi na Ikulu.

cc Nyani Ngabu, Nguruvi3, Richard
I second you...

Kama wameamua kunyamaza wangenyamaza totally kuliko akina Mwigulu kutoka na kukemea wanaouita 'uzushi' bila kuweka ukweli even in a single sentence.

Kwa watu wise walipokemea uzushi palipaswa ukweli ufuate sio kukaa kimya.
 
Mila na desturi zetu waafrika zipo wazi kabisa, sio jambo jema kufurahia matatizo ya mwenzako hata kama ni adui yako. Hasa suala la ugonjwa na msiba sio la kufurahi linapompata binadamu mwenzako.

Wananchi walipiga kura na CCCM ikapata ushindi mkubwa huku rais akipata 84% na wabunge 97% sioni sababu ya kumchukia kiongozi au mwanaCCM akipata ugonjwa au msiba.
Hii umejitungia kabisa, mila ya kabila gani Afrika hii!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom