dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Atachafuka kuliko waliotuma wauji kumwagia Risasi?Hili la Magufuli hadi Lissu kujiingiza litamchafua!
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atachafuka kuliko waliotuma wauji kumwagia Risasi?Hili la Magufuli hadi Lissu kujiingiza litamchafua!
Wewe ni observer kweli kweli![/HEADING][/HEADING]
[HEADING=3][HEADING=3]Nyani NgabuPlatinum Member
May 15, 200687,8522,000
C-19 imepaishwa sana. Si kali wala hatari kama tulivyoaminishwa.
Ingalikuwa kweli ni kali na hatari, basi ingejulikana tu.
Watu walio wagonjwa hawawezi kufichika.
Shule zimefunguliwa toka mwezi gani vile?
Kampeni za uchaguzi zilianza mwezi gani vile?
"The greatest trick the Devil ever pulled was convincing the world he didn't exist"Huenda mkuu maara usilolijua sawa na usiku wa kiza
...aawapiTuendelee kumwombea AISHI MAISHA YENYE HERI NA BARAKA.
Magufuli ni mzalendo wa kweliiiii , kamwe hawezi kukubali kwenda kutibiwa kwenye hospital za mabeberu au vibaraka wao.Kule ambako watanzania wenzie wanatibiwa
Sisi wanaccm wenzake wazalendo wa taifa hiliNani anataka Magufuli atawale milele?
Wapinzani hawana hoja ya msingiAmesha recover.
Amepost twitter mda sio mrefu.
Great! I got you! Let us breath deeply, and thank the Most High. Blessings. Be blessed.Okay.
Let me put it this way, you have some thought provoking proposition, but, alas, this is not the place for their deep exploration.
May be some day, we may have a chance for debate on the subject matter.
Magufuli ni mzalendo wa kweliiiii , kamwe hawezi kukubali kwenda kutibiwa kwenye hospital za mabeberu au vibaraka wao.
Mkuu, wote hao ni kama tu panya waliopo darini, ni nani wa kumfunga paka kengele?Nawaomba myatafakari haya na ikiwapendeza, fanyeni maamuzi sahihi before it is too late.
1.Inafika Ijumaa Kuu haonekani kanisani
2.Inafika Jumapili ya Pasaka pia haonekani kanisani
3.Kipindi chote cha sikukuu ya Pasaka haaenda kijijini Kwake kwa mapumziko kama afanyavyo miaka mingine.
4.Sijui mlijuaje mkaahirisha mapema sherehe za Muungano(nilisikia/nilisoma mwaka huu mmezifuta)
4.Inafika siku ya May Mosi pia haonekani au anatuma salama tu.
5.Bahati mbaya mambo yanaharibika (hatuombei), mtaanzaje kusema?
Je, mpaka hapo mtakuwa mnaficha nini?
Hakuna anachopitia ambacho wanadamu wengine, wakiwemo wenye au waliowahi kuwa na wadhifa kama wake, hawakuhi kupitia na hata sisi wengine tunaweza kupitia wakati wowote, hivyo tumieni akili, uzoefu na busara kufanya kilicho sahihi sasa kabla hamjachelewa.
Ni ushauri tu.
Mbatata ni viaz vya chips viaz vitam ndo vingambaNaamini nitapata jibu hapa..
Wakuu nisaidieni..viazi mbatata ndio viazi vya chipsi?
Na jee vitamu ni vipi?
Kaka nimeshangaa sana hadi yanafungwa matanuru ya kujifukizia lakini wakinasa Corona wanawahi kwenye matibabu ya kisasa Nairobi na India pamoja na mitungi mizuri ya oxygen!Ni mambo ya kushangaza sana.Unadhani Kaka wanawaambia watu watumie malimao lkn wao wakiumwa wanawahi Ventilator sini utapeli wa roho za watu
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Wapinzani mtapata taabuuuuWaliposema yuko Kenya, nikacheka sana hadi secretary kaja kuniuliza kulikoni!? Walipogundua waandishi wanafuatilia Nairobi Hosp. chapchap wakasema kahamishiwa India. Anywezs, hii yote ni dalili kwamba JPM amewasambaratisha vichwa maji hawa. Na mwaka huu wamesahau kuingia kwenye ^chuo cha hakika^ (according to Diamond 🙂 ); na sharti sasa wainame kama wanataka vya uvunguni.
Jinsi navyompenda rais.. namuombea awe mzima muda wote.. mafisadi watatamba sana kama zamani
🏢🏢🏢🐩🐩🐩