Ndio mkuu wapinzani wako busy na kuzushia watu maradhi na vifo, wangapi wamezushiwa vifo ila bado tunawaona hai? wangapi wamezushiwa maradhi ila tunawaona wazima?
Huyo Magufuli alizushiwa kachanjwa chanjo ya corona ila alipofariki wao wao tena wanazusha kafa kwa corona. Tuna wapinzani wa hovyo wasio na msaada wowote kwenye taifa ni wapenda umbeya wa kisiasa tu.