Ombi kubwa kwa sasa ni kumwombea apone huu ugonjwa maana tumeelezwa yupo Nairobi. Covid 19 with cardiac attack.Jinsi navyompenda rais.. namuombea awe mzima muda wote.. mafisadi watatamba sana kama zamani
BBC world.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ombi kubwa kwa sasa ni kumwombea apone huu ugonjwa maana tumeelezwa yupo Nairobi. Covid 19 with cardiac attack.Jinsi navyompenda rais.. namuombea awe mzima muda wote.. mafisadi watatamba sana kama zamani
Punguzeni kelele na uzushi!Imetumika 25,000,000 ksh kuwafumba mdomo wauguzi wa Nairobi kutotoa taarifa lakin Sanawa Timoo kasanua
Dawa ya tetesi ni Rais aonekane live. Wakati tukisubiri hilo acha tufurahie haya madongo yanayorushwa toka pande zote
.....kwa kuwa Magufuli ni Rais wa CHADEMA tu siyo?Chadema hawawezi kuwa 95% ya watanzania
Mnacho sahau ni kwamba siku hizi BBC Swahili Service imekwisha geuzwa vuvuzela wa kuisema vibaya Tanzania specifically Dk. Magufuli kibaya zaidi watangazaji wa BBC wanao litangaza vibaya Taifa letu ni Watanzania wenzetu!Kiongozi wetu anaumwa au yuko mzima?
Kwa sasa yuko wapi?
Habari za kuumwa Corona na kulazwa Nairobi zimetolewa rasmi na vyombo vya habari za Kenya siku ya Jumanne usiku, kabla ya hapo kulikuwa na trend za tetesi tu mitandaoni.
Haya ndio maswali muhimu ya kujiuliza.
1. Waandishi wa vyombo vikubwa vya habari vya Kenya kama NTV wanaweza kutengeneza uzushi mkubwa namna hiyo kwa kiongozi wetu?
2. Je, mamlaka za Tz zimeshindwa kukanusha taarifa hizo kwa ushahidi wa wazi ndani ya masaa 24 toka kuzagaa kwa hizo taarifa?
3. Kwanini Nairobi Hospital wameshindwa kukanusha hizo taarifa na badala yake wameishia kusema 'No comment' ?
4. Kwanini BBC yenye ofisi kuu kwa kanda hii pale Nairobi wameipa nguvu na mwendelezo taarifa ya kuumwa rais wetu?
PANAPOFUKA MOSHI PANA MOTO CHINI.
Pia usisahau BBC swahili service ofisi zao kuu kwa sasa ziko jijini Nairobi, hatua kadhaa kukaribia Nairobi Hospital. Ukiona wanaripoti kitu kinahusu tukio lililotokea Nairobi basi ujue 99% ni ukweli mtupu.Mnacho sahau ni kwamba siku hizi BBC Swahili Service imekwisha geuzwa vuvuzela wa kuisema vibaya Tanzania specifically Dk. Magufuli kibaya zaidi watangazaji wa BBC wanao litangaza vibaya Taifa letu ni Watanzania wenzetu!
Sasa mbona ana changamoto nyingi hivyo,Yupo ICU?Ombi kubwa kwa sasa ni kumwombea apone huu ugonjwa maana tumeelezwa yupo Nairobi. Covid 19 with cardiac attack.
BBC world.
Ni kweli mzee yupo, lakini tumeambiwa yupo Nairobi.Watanzania wenzangu, acheni kichezeshwa vichwa, mzee yupo and very fine!
Hapana kina Salim Kikeke wanaibeba sana CCM na Jiwe. Sema tu na ninyi CCM Hambebeki.Mnacho sahau ni kwamba siku hizi BBC Swahili Service imekwisha geuzwa vuvuzela wa kuisema vibaya Tanzania specifically Dk. Magufuli kibaya zaidi watangazaji wa BBC wanao litangaza vibaya Taifa letu ni Watanzania wenzetu!
Nilitegemea BBC Swahili waeleze kutoka vyanzo vyao, lakini wameishia kusema wamemhoji Lissu, na Lissu kaambiwa na watu wa huko hospital. Source ya habari yao ni Lissu, inasikitisha kwa kweli. Wanashindwaje kuwa na informers kwenye system?Pia usisahau BBC swahili service ofisi zao kuu kwa sasa ziko jijini Nairobi, hatua kadhaa kukaribia Nairobi Hospital. Ukiona wanaripoti kitu kinahusu tukio lililotokea Nairobi basi ujue 99% ni ukweli mtupu.
So what, what? It's because, he might return home in a cargo jet not as a breathing person rather as a bag of rice.Tuseme anaumwa, so what?
Shida ni taarifa yao wameipata kutoka kwa Lissu. Wangeingia wenyewe kujua ukweli. Wao wameishia kum-quite lissuSABC News ni ya jamaa zenu wa huko,Bondeni kwa Madiba.Hii haitumiki na mabeberu ingawa iko huru kuliko TBC na media nyingi za bongo!
Muandalieni tukio kesho muwakomeshe wabaya wenuRais mstaafu wa Somalia nae kafariki leo huko huko Nairobi kwa covid
Sir God atamponyaOmbi kubwa kwa sasa ni kumwombea apone huu ugonjwa maana tumeelezwa yupo Nairobi. Covid 19 with cardiac attack.
BBC world.